Mzizi wa Mbuyu
JF-Expert Member
- May 15, 2009
- 7,323
- 6,810
Mie bado gazeti hili sitalisamehe kwa kutulazimisha kuchagua raisi mbovu kwa kumsingizia Dr Salim U- Hizbu!! eti alishiriki kumuua Karume!!
Naona wana benefit tukiwa na raisi mbovu kama hivi!
Kwanza hata hivyo kwani kuna ulazima gani kusalimia!!!?? Yeye ni raisi kweli sawa, lakini ni raisi haramu kwani aliupata kwa njia haramu pia.....
Jambo lingine wa Tanzania tusiwe wepesi wa kusahau...Mwakyembe alisema kuna watu wanataka kumuua yeye na watu wengine akiwemo Dr Slaa...na watu hao wanashirikiana na usalama wa taifa vijana wa JK! Na ni wazi JK anajua kila kitu na kipango yoote inayoendelea kwenye idara hiyo ya usala wa nchi inavyopanga kumuua pi DR Slaa. Lakini JK kauchuna tu..... hachukui hatua..hii maana yake nini kwa mtu anaefikiri kama Slaa!? JK ni muuaji anae muwinda Dk Slaa, sasa unafiki wanini? kumchekea namsalimiasalimia mtu anayetaka kukuua??
Unafiki huu ndiyo uliyo mponza Mwakyembe kumchekea na kukubali post ya mtu anayeiwinda roho yake!!
Naona wana benefit tukiwa na raisi mbovu kama hivi!
Kwanza hata hivyo kwani kuna ulazima gani kusalimia!!!?? Yeye ni raisi kweli sawa, lakini ni raisi haramu kwani aliupata kwa njia haramu pia.....
Jambo lingine wa Tanzania tusiwe wepesi wa kusahau...Mwakyembe alisema kuna watu wanataka kumuua yeye na watu wengine akiwemo Dr Slaa...na watu hao wanashirikiana na usalama wa taifa vijana wa JK! Na ni wazi JK anajua kila kitu na kipango yoote inayoendelea kwenye idara hiyo ya usala wa nchi inavyopanga kumuua pi DR Slaa. Lakini JK kauchuna tu..... hachukui hatua..hii maana yake nini kwa mtu anaefikiri kama Slaa!? JK ni muuaji anae muwinda Dk Slaa, sasa unafiki wanini? kumchekea namsalimiasalimia mtu anayetaka kukuua??
Unafiki huu ndiyo uliyo mponza Mwakyembe kumchekea na kukubali post ya mtu anayeiwinda roho yake!!