Gazeti la Mwananchi na Habari ya Kiudaku kuhusu Dr. Slaa.

Angalau pale Karimjee ambako mazishi ya KITAIFA yalifanyika. Akakimbilia Morogoro kufungua jengo la CAG ambalo hata DC wa Morogoro angetosha kuifanya kazi hiyo
.


Washauri wake naona hawaangalie mbele.Jk alistahili kuwepo kwenye mazishi ya kitaifa.Zaidi ya yote Gazeti la Mwanachi hawakuwa na haki ya kusema Dr amkwepa Jk ukizingatia hakuna mwandishi aliyewahoji wawili hao.
Katika hali kama hiyo mtu yeyote anaweza kuja na mtazamo wake JK AMKWEPA DR SLAA au Dr SLAA AMKWEPA JK,sasa wao wametoa wapi uhalali wa kusema Dr Slaa ndiye ameamua kumkwepa Jk?

Nawapongeza kidogo gazeti la Tanzania Daima na heading yao(Dk Slaa,Kikwete wakwama kuteta)
 
Hii hoja ya kuwa Dr Slaa anamkwepa JK imeanza kutolewa muda mrefu sana,na imeanza kutolewa kama udaku hivi..na kweli kwa mwandishi wa habari kudakia maneno ya kidaku na kuyafanya habari ni aibu na kukosa weledi...ni vyema mwandishi akafanya utafiti kabla ya kuandika habari yoyote.

No research no right to say or to comment,otherwise it wont be good and right for journalist especially from this credible news paper to come out with analysis which doesnt reflect the reality.
 
Itakuwa siyo vibaya wala siyo mara yake ya kwanza kushirikiana na wakristu kiibada. Ni wewe tu Baru2 unayoona haiwezekani

Baru2..inawezekana akawa sahihi. Jiulize kwenye mazishi ya Askofu Anthony Mayalla alifika muda gani?
 
hii habari kwa welevu tulijua imeandaliwa maluumu kuchafua dr slaa, maana ukisoma kwa undani hakuna mahari ambabo walikuwa pamoja,...................... masuala rais anapokuwa amesimama au kukaa mahali kuna taratibu za kuonana nae hata kama ni baba yako au mama yako
 
Kama ni muhimu kwa Dr Slaa kusalimiana na Raisi Kwa nini Raisi Hakumtafuta, mara Ngapi Raisi ameulizia watu anaowahitaji na Kuwaita Mbela kwenye mikutano ya Hadhara
 
Mwasisi wa huu udaku ni vuvuzela na 1 la EL Pasco. Ametumia bahasha nono kwa wahariri makanjanja kueneza huu udaku. Pasco umekosa nini mpaka kujishusha hivi?
 
Hapo ndo ninapo-prove kuwa slaa hana sifa za kuliongoza taifa hili. acheni kuwasingizia gazeti la mwananchi wao wamefanya kazi yao iliyobaki ni kwenu kui-digest. asante sana gazeti la mwananchi.
 
afu mmeiona katuni ya kingo leo?anavaa mabomu,kajifunga do-rag flani pembeni kuna bonge la AK,halafu kwa juu kuna kama kialama cha vidole viwili(v)..yani hawa kama kuna kitu wanatafuta..siwaaminiamini siku hizi..mtazamo tu,icheki mwenyewe katuni ya kingo leo..
 
..ina maana Raisi badala ya kufanya kazi aliyochaguliwa kufanya amebaki kum-stalk na kumvizia Dr.Slaa kwenye misiba?

..kama Raisi anapenda kukutana na Dr.Slaa kwanini hamkaribishi ikulu wale chakula na kuzungumza?
 
Kosa moja halifukuzi mke.Hope watarekebisha kulinda weledi wao.
Hii habari inanishangaza maana walikuwa pale kuzika na si kuonana kama hawakuonana haikuwa shida.
 
MUASISI wa gazeti hilo na Rostam AZIZ, na bado kuna watu aliowaacha nyuma, mnashangaa nini kuwa hilo ni gazeti la udaku na udakuzi
62206_101116039952044_100001609443743_5955_5865122_n.jpg
 
Kwani hamjui kuwa yule Mhariri wa Mwananchi aitwae Dennis Msaki aliyefukuzwa Chuo Kikuu cha Tumaini ni Swahiba mkubwa wa Zitto?
 
Back
Top Bottom