Mpinzire
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 7,224
- 12,946
Ni mara ha pili jana ndani ya mwaka huu gazeti la mwananchi linalefa habari ileile kuhusu uwanja wa ndege wa Chato kutokuwa na ndege hata moja inayotua!
Story ni ileile na wanakazia ata ukienda kufanya booking hukuti ndege!
Tangazo la ATCL siku 5 zilizopita hili hapa kutoka account yao ya twitter.
Bado nikaamua niende kufanya booking nione, nikakuta kuna ndege ya kesho tarehe 27! Bado nawaza story ileile mara ya 2 inaibuka Mwananchi mdani ya mwaka mmoja! Mwananchi kulikoni?
Story ni ileile na wanakazia ata ukienda kufanya booking hukuti ndege!
Tangazo la ATCL siku 5 zilizopita hili hapa kutoka account yao ya twitter.
Bado nikaamua niende kufanya booking nione, nikakuta kuna ndege ya kesho tarehe 27! Bado nawaza story ileile mara ya 2 inaibuka Mwananchi mdani ya mwaka mmoja! Mwananchi kulikoni?