Siamini kama shilingi ya Tanzania imeshuka thamani kiasi hicho.. Yani Gazeti sh. 800? Duh! Kweli serikali sikivu ya J.K Inachapakazi!
Siamini kama shilingi ya Tanzania imeshuka thamani kiasi hicho.. Yani Gazeti sh. 800? Duh! Kweli serikali sikivu ya J.K Inachapakazi!
More details, please!!
wewe unaona halali ni kununua mchele 2600 kwa kilo???
tulichagua wenyewe rais handsome kwa hiyo tusilalame bei kupaa