Hata mimi nimeshangaa sana kwani mapato ya magazeti, duniani kote, sio bei ya gazeti bali matangazo ya biashara ndani ya magazeti, na Mwananchi kwa hili wapo juu sana compared na magazeti mengine. Vinginevyo, unaweza hata kulitoa gazeti bure, ili mradi uwe na circulation nzuri tu itakayokupa good ratings.
Mchambuzi;
Ni kweli mapato ya magazeti hutegemea matangazo; kwa Tanzania kama gazeti lako halipambi habari za chama chetu na matangazo hupati; wafanyabiashara wengi wa Tanzania ni wababaishaji na wakwepaji kodi na wengi wamaejikinga nyuma ya mgongo wa chama chetu.
Chama
Gongo la Mboto DSM.