Barubaru
JF-Expert Member
- Apr 6, 2009
- 7,161
- 2,323
Nipo tangu jana mkuu.
Hivi Tabata Chang'ombe gani hiyo. Kwani mimi nakumbuka niliwahi kufika mpaka kwenye kota za VETA. Je unaweza kuwajuza wengine wanaotaka kufik huko.
Tunakuomba uwe una update kwani sote tunapenda na tungependa kuwa hapo na hata mazikoni lakin ndio hivyo tena.
Kila la kheir na utuwakilishe vyema.