...Mhhhhhhhh. Mhhhhhhh. Sasa hizo pesa zote alizochukua hapo Benki zina raha gani?? Wengine mnasema, maisha ya huyo gavana ni chokambaya, any time anaweza kurudisha namba. Tunapata fundisho gani hapa hasa?? Enyi wana wa adamu mnaowabia watanzania wenzenu kwa kushirikiana na mafioso wa kimataifa, mnajifunza nini kutokana na haya maswahibu yanayomkuta balali???
Alert JF...Telephone calls from abroad are being intercepted in light of this breaking news. Hivyo nyie watu huko ughaibuni mnaotupigia simu tulio nyumbani chukueni tahadhari basi... Ahsante.
SteveD.
SteveD,
Hata wanase simu wengine hatujali kabisa. Wanafikiri watendeleza huo upumbavu wao mpaka lini?
Akina Othman walikuwa hapa, wanaonekana waungwana kumbe ni pumbavu tupu.
Huyu Ballali tunaweza kumfungulia case hata huko huko USA. Watanzania wote dunia nzima, tuna uwezo wa kuchanga pesa za
kupambana na hawa mafisadi.
Tena siku hizi tunaweza kwa kila ambaye tunaushahidi basi tunafungua mashitaka nje na kusubiri tuakanyage Europe. Itafika mahali mpaka washindwe kutumia hizo pesa wanazoiba.
Ebana eeh hebu wanaojua hospitali aliyolazwa watuambie hapa. Kama namna gani mi na machizi wangu tunaweza kwenda kumfanyia wenyewe
Nakubaliana na wewe, huyu anatakiwa kufanyiziwa ili iwe fundisho kwa wengine kwamba Watanzania wamechoka kuibiwa.
Ballali inatakiwa aseme ukweli wake kabla hajafa, vinginevyo
ataacha dhambi kubwa ambazo zitaiandama hata familia yake. When you are in a hole, stop digging, vinginevyo utafunikwa kabisa.
Inabidi aje clean kwa faida yake na familia yake.