Kassim Awadh
JF-Expert Member
- Mar 12, 2012
- 884
- 187
1G kavu si ndio balaa Katelephone? Ni Jini, wengi wanapenda zenye vvti
1G kavu mkuu imetulia ni 6 sawa lkn mafuta inanusa kam 10Kms per litre
1G kavu si ndio balaa Katelephone? Ni Jini, wengi wanapenda zenye vvti
Majungu hayajengi. Naona nia yako ni kuniharibia biashara, huna lolote na hiyo ni kawaida kwa watu wa aina yakoNgoja nichimbe ki - swimming pool cha kuogelea hilo gari, maana najuz GX 100 hazinywi mafuta bali zinaogelea