dalali Tambwee
Member
- May 2, 2022
- 7
- 8
Toyota starlet inauzwa
Bei million 4.3
Cc 1300
Gari ni nzuri
Full ac
Ipo dar es salaam
0784020604
Bei million 4.3
Cc 1300
Gari ni nzuri
Full ac
Ipo dar es salaam
0784020604
Imepigwa puti ya kutosha ukita kwenye rasta inamung'unyuka watu wandhambi.Dah..hela ya Tz imeshuka kiasi hiki?
Mimi nikiwa dalali gari hizi siuzi, namwambia boss auze mwenyewe maana nitapigiwa simu sana za lawama
Huenda huzijui gari ndio maaana umeropoka ulichoandika. Heshimu sana hiyo gari soon tunakoenda na hata ukiiingia Sites za Kununua gari nje tayari bei ya Starlet iko 13-16M ni aina ya gari ambazo zinaelekea kupotea, wenzako leo wanauza Beetle, Fiat, Peugot, Land Rover 109 kwa Mamilioni ya pesa ila kwa Layman ka wewe huwezi elewa lolote.Dah..hela ya Tz imeshuka kiasi hiki?
Mimi nikiwa dalali gari hizi siuzi, namwambia boss auze mwenyewe maana nitapigiwa simu sana za lawama
Kumbuka gari imetumika bongo hiyo...anyway auze 10mHuenda huzijui gari ndio maaana umeropoka ulichoandika. Heshimu sana hiyo gari soon tunakoenda na hata ukiiingia Sites za Kununua gari nje tayari bei ya Starlet iko 13-16M ni aina ya gari ambazo zinaelekea kupotea, wenzako leo wanauza Beetle, Fiat, Peugot, Land Rover 109 kwa Mamilioni ya pesa ila kwa Layman ka wewe huwezi elewa lolote.
Mkuu kama jambo hulijui heri ukae kimia tu kama sie tunaotumia Avon na Swalla.
Acheni kupaisha gari bwana, hilo gari limekuwa imported 2011 kati ya mwezi wa 5 na wa 8, kaangalie kadi. Kipindi hicho kuagiza gari ya cc1490 kushuka chini, CIF pamoja na ushuru haizidi milioni 5. Miaka 12 baadae mtu anataka aliuze milioni 4.3!???.., Kwa ajili ya hizo rim au!?,hebu kuweni serious.., hilo gari akitokea mtu ana milioni 2 chukua fasta. Gari likishatembea bongo hata miaka miwili linashuka thamani sio starlet, ist wala nini. Na ombea mmiliki asiwe anakaa madale, makabe, chanika, etc huko ndanindani.Huenda huzijui gari ndio maaana umeropoka ulichoandika. Heshimu sana hiyo gari soon tunakoenda na hata ukiiingia Sites za Kununua gari nje tayari bei ya Starlet iko 13-16M ni aina ya gari ambazo zinaelekea kupotea, wenzako leo wanauza Beetle, Fiat, Peugot, Land Rover 109 kwa Mamilioni ya pesa ila kwa Layman ka wewe huwezi elewa lolote.
Mkuu kama jambo hulijui heri ukae kimia tu kama sie tunaotumia Avon na Swalla.
Jamaa atakwambia hujui magari..Acheni kupaisha gari bwana, hilo gari limekuwa imported 2011 kati ya mwezi wa 5 na wa 8, kaangalie kadi. Kipindi hicho kuagiza gari ya cc1490 kushuka chini, CIF pamoja na ushuru haizidi milioni 5. Miaka 12 baadae mtu anataka aliuze milioni 4.3!???.., Kwa ajili ya hizo rim au!?,hebu kuweni serious.., hilo gari akitokea mtu ana milioni 2 chukua fasta. Gari likishatembea bongo hata miaka miwili linashuka thamani sio starlet, ist wala nini. Na ombea mmiliki asiwe anakaa madale, makabe, chanika, etc huko ndanindani.
Wanazingua wanaona kila mtu mgeni, tena bora utangaze kuuza gari lilivyo kwa bei ya kawaida, kuliko kulipiga puti, rudishia rangi, seat cover na number plate mpya halafu ukataja ela nyingi. Watu wanashtuka.Jamaa atakwambia hujui magari..