mmakonde mjanja
JF-Expert Member
- Jun 7, 2016
- 288
- 128
Habarini za majukumu ninagari aina ya Toyota Celica ilikua inasumbu kabla tatizo la kuchemsha Nika badili injini.
Ila toka nimefunga mpya maji hayakai kwenye chupa kidogo Cha maji Ila haichemshi.
Na hata nikijaza ukalala asubui sikuti maji naomba msaada.
Ila toka nimefunga mpya maji hayakai kwenye chupa kidogo Cha maji Ila haichemshi.
Na hata nikijaza ukalala asubui sikuti maji naomba msaada.