Gari aina ya Celica inasha maji ukiendesha na hata ukiipaki

mmakonde mjanja

JF-Expert Member
Jun 7, 2016
288
128
Habarini za majukumu ninagari aina ya Toyota Celica ilikua inasumbu kabla tatizo la kuchemsha Nika badili injini.

Ila toka nimefunga mpya maji hayakai kwenye chupa kidogo Cha maji Ila haichemshi.

Na hata nikijaza ukalala asubui sikuti maji naomba msaada.
 
Back
Top Bottom