Jamani msaada jamani mdogo wangu amepatwa na fungus kidoleni yani ukucha wote umeliwa,ametumia nistatin laikin bado pia fungu zimetokea mgongoni,makwapani na kwenye masikio je atumie dawa gani ushayri please
aisee huyo aende hospitali, fungus wa kwenye kucha ni moja ya fungus ngumu kutiba na matibabu yake huchukua muda mrefu, na kama ameanza kupata na sehemu nyingine atakuwa anao wa aina nyingi nyingi, pia umshauri akapime HIV
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.