kisiringyo
Member
- Feb 9, 2012
- 89
- 31
mi nakusubiri bwana utoe jibu, nimeshindwa kulog out nasubiriwa jibu lako coz naona wote tumeshindwa, ikiwezekana lipeleke kwa magreat thinkers.
Mkuu hamic mussa, nitaongea na prezda akuteuwe uwe mbunge wa viti maarumu, leo ameteua 3 lakini bado ananafasi kama 4 ili ziwe 10. toa jibu tulikubali kwanza.
Aisee nshajua jibu.
Ngoja nisubiri muendelee kuchemsha. Dah fumbo la kijanja sana. Usipotumia akili utatoka kapa.
Ngoja niendelee kucheka kwanza.
Deejay nasmile waiting for you
We hamic nakupa mji,nenda Tanganyika,toa jb bac..aagh
Mh!mbona kama jamaa kakimbia?
mi nakusubiri bwana utoe jibu, nimeshindwa kulog out nasubiriwa jibu lako coz naona wote tumeshindwa, ikiwezekana lipeleke kwa magreat thinkers.
Sogea nikunong'oneze asisikie (anazuga, hata yeye hajui)
mkuu watu wamechemka toa jibu basi, halafu unaniudhi unavyolinga kutoa jibu utasababisha nikutukane nipewe BAN bureeeee
jibu ni mbuzi
Network searchng................0%
loading......12........23....24...31%
Netwrk failed
aaah nikupe mji njoo ikulu upate msos wa jion!
Lkn tuma vocha yangu kwanza!
Jibu nalijua ila lina connection kubwa sana na BAN. Bukumbili yako staki!