hamic mussa
JF-Expert Member
- May 1, 2012
- 227
- 19
kuna kitu cheusi kama giza na cheupe kama barafu. Ni haramu kuliwa na ni halali kunywa. Kina herufi 5 na kinaanza na herufi M. Kinatumiwa na wanaume mara tatu kwa siku na wanawake mara moja katika umri wao. JE NI KITU GANI HIKO