Jumakidogo
R I P
- Jul 16, 2009
- 1,851
- 417
@ Kurunzi acha tu uyu jamaa,sasa wameshtakiwa kwa kosa gani hasa? kama ni mauaji inakuweje wanatafutiwa dhamana?kesi za mauaji zina dhamana?au mie sijui sheria
Marehemu Ditopile alipewa dhamana kwa kifungu gani?