Ndo aliyefunga ila wamefungwa nyumbani na kibonde mwenzake na wameAmefunga?
Pole sana mkuu,cha msingi furaha ipo maana ndo inayoponyeshaSanamu la chama liwekwe viunga vya msimbazi..
Japo nimeshangilia mpira wa timu yetu Simba nikiwa kitandani nauguza jeraha la kuvunjika mguu wa kushoto
Ila siku ya Leo imekua nzuri na furaha sanaa Kuna muda nilijikuta nataka kunyanyua mguu wenye HOGO
ALL IN ALL,
Simba Guvu Moja 😊😊😊😊
hapanaa naenda Lubumbashi mbeziiii.Kwahio leo utagawa matako bure bure hapo river side
Haha hajawahi na hawawezi..
Kuna mwamba humu alisema Mnyama anacheza na timu tatu, mojawapo ni huyu aliyekandwa mbili zilizobaki nisaidieni kumalizia wakuu..
Mungu akuponye haraka mwanasimba Simba leo imejituma ila beki za galaxy zinakabia macho.Sanamu la chama liwekwe viunga vya msimbazi..
Japo nimeshangilia mpira wa timu yetu Simba nikiwa kitandani nauguza jeraha la kuvunjika mguu wa kushoto
Ila siku ya Leo imekua nzuri na furaha sanaa Kuna muda nilijikuta nataka kunyanyua mguu wenye HOGO
ALL IN ALL,
Simba Guvu Moja 😊😊😊😊
Anko wako mstaarabu eti,Yani wew kichwa chako umuua Kwa presha ankowangu
Imerudia unyamq wake.Simba imebadilika kiukweli,
Tisha sana 🤣🤣Wydad,yanga na jwaneng
Oooh poleee sanaa, hope ushindii huu umekata maumivu ya jeraha lako.Sanamu la chama liwekwe viunga vya msimbazi..
Japo nimeshangilia mpira wa timu yetu Simba nikiwa kitandani nauguza jeraha la kuvunjika mguu wa kushoto
Ila siku ya Leo imekua nzuri na furaha sanaa Kuna muda nilijikuta nataka kunyanyua mguu wenye HOGO
ALL IN ALL,
Simba Guvu Moja
Naam, sahihi kabisaNa kwa haya matokeo confidence kwa Simba imapanda.na unapokua kwenye changamoto yoyote confidence ni dawa Bora kabisa.
Unajisifu kwa kuifunga TRA iliyochangamka?Hali mpaka sasa ni shwari licha ya goli 6 lakini 4 zilitaka kumtoa mtu roho, usiku mwema
Kuna mtu kajitolea kuninunulia matango 20 niyale niyamalize kisa ushindi wa simba. Mna mbwembwe simbaHehe bado Hamjaongea vizuri 🤣🤣
Goal ni yule yule pacome aka kitenesi yanga 7-0 CR belozidad kipindi Cha tatu wapo moto wananchiiiiiiiiiiiiiiiii