FT: Simba SC 6-0 Jwaneng Galaxy | Benjamin Mkapa Stadium | 02.03.2024. 19:00 EAT | Simba yafuzu Robo Fainali

Amefunga?
Ndo aliyefunga ila wamefungwa nyumbani na kibonde mwenzake na wame
Sanamu la chama liwekwe viunga vya msimbazi..

Japo nimeshangilia mpira wa timu yetu Simba nikiwa kitandani nauguza jeraha la kuvunjika mguu wa kushoto

Ila siku ya Leo imekua nzuri na furaha sanaa Kuna muda nilijikuta nataka kunyanyua mguu wenye HOGO

ALL IN ALL,
Simba Guvu Moja 😊😊😊😊
Pole sana mkuu,cha msingi furaha ipo maana ndo inayoponyesha
 
Sanamu la chama liwekwe viunga vya msimbazi..

Japo nimeshangilia mpira wa timu yetu Simba nikiwa kitandani nauguza jeraha la kuvunjika mguu wa kushoto

Ila siku ya Leo imekua nzuri na furaha sanaa Kuna muda nilijikuta nataka kunyanyua mguu wenye HOGO

ALL IN ALL,
Simba Guvu Moja 😊😊😊😊
Mungu akuponye haraka mwanasimba Simba leo imejituma ila beki za galaxy zinakabia macho.
 
Sanamu la chama liwekwe viunga vya msimbazi..

Japo nimeshangilia mpira wa timu yetu Simba nikiwa kitandani nauguza jeraha la kuvunjika mguu wa kushoto

Ila siku ya Leo imekua nzuri na furaha sanaa Kuna muda nilijikuta nataka kunyanyua mguu wenye HOGO

ALL IN ALL,
Simba Guvu Moja
Oooh poleee sanaa, hope ushindii huu umekata maumivu ya jeraha lako.
 
Back
Top Bottom