Ninja assasin
JF-Expert Member
- Jul 2, 2018
- 2,395
- 5,604
nguvu moja
Yap. Kuna moja ya kibu. Nadhani zipo 11.Zote Jobe bila shaka
Kati ya Simba na Uto nani apewee Mamelodi
Hii ndio maana ya ukubwa.Ahmed Aly ndo msemaji bora mpk sasa..hajapanic hajakata tamaa na hajazimia...
HahahahMuda huu ingekuwa ni Gongowazi basi Ambulance zingekuwa zinapishana tu kusombelea walio zimia
Haijalishi, goli 6 ni goli 6 tu.Hizo goli 6 unamfunga Mamelodi au Al Ahaly? Hilo ndio la kujiuliza, hao wacheza Makhirikhiri Wana rank gani?
Haijalishi, goli 6 ni goli 6 tu.
Ndio maana Yanga ipo kwenye rekodi ya kufungwa goli nyingi group stage 1998 na Raja Casablanca, 6-0
Simba ni moja ya timu 5 kati ya 16 iliyofungwa mechi 1 au 0. Pia ni timu inayoongoza kwa goal difference kati ya timu za makundi yote. Mpaka hapo unaweza kujua nani ana takwimu mzuri.Aliyeingia robo na mechi moja mkononi na aliyeingia mechi ya mwisho yupi Bora?
Anyway nyinyi ni wa kuwasamehe Tu mwenye timu muda huu anagonga cheers anasubili cheque ya CAF Tu.
Kmmke 🤣Simba ni moja ya timu 5 kati ya 16 iliyofungwa mechi 1 au 0. Pia ni timu inayoongoza kwa goal difference kati ya timu za makundi yote. Mpaka hapo unaweza kujua nani ana takwimu mzuri.
Tesekaa taratibuuuu mzeeeAliyeingia robo na mechi moja mkononi na aliyeingia mechi ya mwisho yupi Bora?
Anyway nyinyi ni wa kuwasamehe Tu mwenye timu muda huu anagonga cheers anasubili cheque ya CAF Tu.
Usijisahaulishe kwamba msimu huu ndo Mara yako ya kwanza kuingia Robo Tangu mwaka 98..Aliyeingia robo na mechi moja mkononi na aliyeingia mechi ya mwisho yupi Bora?
Anyway nyinyi ni wa kuwasamehe Tu mwenye timu muda huu anagonga cheers anasubili cheque ya CAF Tu.
Hapo sasa...wanaozimia ni hawa washamba wa mashindano..Hii ndio maana ya ukubwa.
Na ukubwa ni experience.
Simba haichagui wa kucheza nae,yoyote atakaeletwa tutakula nae.
Iloshacheza na mabingwa wa Afrika akina zamalek.shida Iko wapi.
Na kwa haya matokeo confidence kwa Simba imapanda.na unapokua kwenye changamoto yoyote confidence ni dawa Bora kabisa.Kwa misimu takribani 6 mfululizo haijawahi kuwa shida kubwa kwa Simba kufuzu hatua ya robo fainali, ni wakati sasa wa kupambana kuitafuta nusu fainali na hata fainali yenyewe. Kila kitu kinawezekana kama mtani alisubiri kwa miaka 89 na wamefanikiwa kuingia hatua ya robo basi hata kwa Mnyama inawezekana hata kubeba hili kombe, tunalitaka sana.. Kila la kheir.. Leo mpira umetembea kwa maana ya kutembea!
Utamjua alierukwa na akili haiiitaji darubiniYanga imeingia robo fainali na mechi moja mkononi, Ahmed Ally ndiye alirukwa na akili Kwa Yanga kuingia robo na mechi moja mkononi tena mbele ya Mwarabu.
Mtani tunaishia humu tuu tukikutana tunakunywa supu wote... 😂 😂Watani mna maneno, tutakoma sisi😀