Galaxy angekubali Tsh ngapi aache fedha za robo? Alikuwa na nafasi.Hii mechi ichunguzwe. Kuna harufu ya upangaji matokeo.
Hii ni simba sio CCMHii mechi ichunguzwe. Kuna harufu ya upangaji matokeo.
Angekuwa yule dogo qngekufa bila kuona Robo.Ahmed Aly ndo msemaji bora mpk sasa..hajapanic hajakata tamaa na hajazimia...
Walichofanya leo hawana tofauti na hao CCMHii ni simba sio CCM
Watani mna maneno, tutakoma sisi😀Ahmed Aly ndo msemaji bora mpk sasa..hajapanic hajakata tamaa na hajazimia...
Yanga imeingia robo fainali na mechi moja mkononi, Ahmed Ally ndiye alirukwa na akili Kwa Yanga kuingia robo na mechi moja mkononi tena mbele ya Mwarabu.Yaniiii yaniii kuna watu roho zitawatoka leo...na nguvu za kiume leo hawana....sijui watawambia nini wake zao..
Ile ilikuwa kupoteza watuLakini hukuandika haya wakati kocha wa Galaxy anachimba mkwara...
Mmesahau nyie eehh...Tutakoma hii week itakua ndefu sana mna midomo sana Simba
Ya 3 bila chengaKwa Matokeo haya,Simba inakuwa ya ngapi kwa Ubora Afrika..?
Simba ndo ya kwanzaWadau kwenye mashindano haya kuna timu imefunga goli 6?
tuwape mamelod basi watani huu mpira wa goli 6 si mshajipata auMnaotesekaaa dawa yenu ninayoooo,
Semeni suu niwaanzishiee dosage.
Ila sisi hatuwazidi nyie kwa maneno tu😀🙌Mmesahau nyie eehh...
Mmenyamaza jana baada ya kufungwa etiii
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app