Mzee Wa Kazi Chafu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2022
- 2,220
- 4,906
Yeeees! Karibuni Sana Wapenzi Wa Soka, Wapenzi Wa NBC Premier League Ama Kwa Hakika Leo Juni 15, 2022 Inapigwa Mechi Kali Hapa, Mechi Dume Kati Ya Dar Es Salaam Young Africans Dhidi Ya Coastal Union Wana Mangushi Ama "Wagosi Wa Kaya".
Ni Mechi Yenye Umuhimu Mkubwa Baina Ya Timu Zote Kupata Alama Zote Tatu Hasa Kwa Dar Es Salaam Young Africans Kwani Endapo Watafanikiwa Kupata Alama Zote Tatu Leo Hii, Ni Rasmi Watatangazwa Kama Ndio Mabingwa Wapya Wa Ligi Kuu Ya Soka Nchini Tanzania Na Kwa Upande Wa Coastal Union Wana Mangushi Kupata Alama Zote Tatu Ni Kuzidi Kujiweka Pazuri ili Kusalia Ndani Ya NBC Premier League.
Nini Kitajiri Hapa Je Young Africans Atafanikiwa Kutangaza Ubingwa Leo?, Ama Coastal Union Atatibua Mipango Na Kutibua Rekodi Ya Kutopoteza Mchezo Wowote Kwa Young Africans Mpaka Hivi Sasa?, Em Tutege Macho Na Masikio Kufuatilia Mtanange Huu Ndani Ya Dk Zote 90.
All The Best Dar Es Salaam Young Africans The Club Above All In Tz
Wananchi!!
Mchezo unaanza kwenye Uwanja wa Mkapa, leo Juni 15, 2022 Jijini Dar es Salaam
1' Mchezo umeanza
10' Yanga wanamiliki mpira muda mwingi
19' Coastal wanaonesha uhai wanajibu mashambulizi kadhaa
34' GOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO
Walinzi wa Coastal wanajichanganya, mpira unamkuta Mayele anapiga shuti linaingia wazuni
37' Yanga wanaendeleza kasi
40' Mayele anakosa nafasi ya wazi, shuti lake linatoka nje ya lango
45' Coastal wanaonesha utulivu licha ya kushambuliwa mara kadhaa
MAPUMZIKO
Kipindi cha pili kimeanza
47' Coastal wanapambana kutafuta bao la kusawazisha.
50' Mayele anapiga shuti la mbali linapaa juu ya lango
51 GOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO
Chiko anaipatia Yanga bao la pili akimalizia krosi ya Mayele
60' Yanga wanaendelea kuliandama lango la Coastal
65' Mchezo ni mkali na Yanga ndio ambao wanatawala mchezo muda mwingi
67' GOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO
Mayele anaipatia Yanga bao la tatu, likiwa ni la pili kwake katika mchezo huu
80' Yanga wanaupiga mwingi, wanatawala mchezo
85' Coastala wajapiga pasi, wanaonekana hawana cha kupoteza
90' Zinaongezwa dakika 3
Full Time
YANGA BINGWAAA, kutokana na kufikisha pointi 67 inamaanisha kuwa Yanga imetwaa ubingwa
Ni Mechi Yenye Umuhimu Mkubwa Baina Ya Timu Zote Kupata Alama Zote Tatu Hasa Kwa Dar Es Salaam Young Africans Kwani Endapo Watafanikiwa Kupata Alama Zote Tatu Leo Hii, Ni Rasmi Watatangazwa Kama Ndio Mabingwa Wapya Wa Ligi Kuu Ya Soka Nchini Tanzania Na Kwa Upande Wa Coastal Union Wana Mangushi Kupata Alama Zote Tatu Ni Kuzidi Kujiweka Pazuri ili Kusalia Ndani Ya NBC Premier League.
Nini Kitajiri Hapa Je Young Africans Atafanikiwa Kutangaza Ubingwa Leo?, Ama Coastal Union Atatibua Mipango Na Kutibua Rekodi Ya Kutopoteza Mchezo Wowote Kwa Young Africans Mpaka Hivi Sasa?, Em Tutege Macho Na Masikio Kufuatilia Mtanange Huu Ndani Ya Dk Zote 90.
All The Best Dar Es Salaam Young Africans The Club Above All In Tz
Wananchi!!
Mchezo unaanza kwenye Uwanja wa Mkapa, leo Juni 15, 2022 Jijini Dar es Salaam
1' Mchezo umeanza
10' Yanga wanamiliki mpira muda mwingi
19' Coastal wanaonesha uhai wanajibu mashambulizi kadhaa
34' GOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO
Walinzi wa Coastal wanajichanganya, mpira unamkuta Mayele anapiga shuti linaingia wazuni
37' Yanga wanaendeleza kasi
40' Mayele anakosa nafasi ya wazi, shuti lake linatoka nje ya lango
45' Coastal wanaonesha utulivu licha ya kushambuliwa mara kadhaa
MAPUMZIKO
Kipindi cha pili kimeanza
47' Coastal wanapambana kutafuta bao la kusawazisha.
50' Mayele anapiga shuti la mbali linapaa juu ya lango
51 GOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO
Chiko anaipatia Yanga bao la pili akimalizia krosi ya Mayele
60' Yanga wanaendelea kuliandama lango la Coastal
65' Mchezo ni mkali na Yanga ndio ambao wanatawala mchezo muda mwingi
67' GOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO
Mayele anaipatia Yanga bao la tatu, likiwa ni la pili kwake katika mchezo huu
80' Yanga wanaupiga mwingi, wanatawala mchezo
85' Coastala wajapiga pasi, wanaonekana hawana cha kupoteza
90' Zinaongezwa dakika 3
Full Time
YANGA BINGWAAA, kutokana na kufikisha pointi 67 inamaanisha kuwa Yanga imetwaa ubingwa