Mr consolation
Member
- Oct 18, 2023
- 63
- 41
asipojiangalia kitambi kitaisha...maana si kwa presha ile...yan wachezaj wanacheza mpla utafkil wapo disco wanacheza mapiano...Namuona Mgunda hatakula Iddi ya kuchinja pale Msimbaz
asipojiangalia kitambi kitaisha...maana si kwa presha ile...yan wachezaj wanacheza mpla utafkil wapo disco wanacheza mapiano...Namuona Mgunda hatakula Iddi ya kuchinja pale Msimbaz
Hii ni 5imba ya Andazi!mhm!! hii sio simba ninayoijua mim...kuna namna tunachezewa...ila ni swala la mda2...
Hadi sasa Ahmed Ally anaamini kimahesabu Kolo atakuwa bingwa
Simba vs Namungo... Michezo 11Ivi kweli Simba ni wakukaliwa kooni na Namongo.
Unaambiwa timu kpewa juzi tu jana nazi zimepanda beiNamuona Mgunda hatakula Iddi ya kuchinja pale Msimbaz
Sema amepita kimya kimya..Jukwaa la michezo hajapita
Nilikua natafuta ushindi homenakusalimia mkuu, habari za usiku?
View attachment 2977777
TFF ya Karia itafanya kila namna kuhakikisha Simba inakuwa ya Pili ili icheze CAF CL. Tff itafanya namna kuikwamisha Azam na kuwapa maelekezo marefa kuhakikisha Simba inashinda mechi zilizosalia.Tuna viporo Viwili,
Point 47. Nafasi ya Tatu.
Azam ana point 54, Nafasi ya pili
Tukishinda hivyo viwili Tunakuwa na Points 53.
Sasa sisi tunabaki kuwaombea Azam dua wapoteze mchezo ili tuweze kucheza CAF CL
AiseeTFF ya Karia itafanya kila namna kuhakikisha Simba inakuwa ya Pili ili icheze CAF CL. Tff itafanya namna kuikwamisha Azam na kuwapa maelekezo marefa kuhakikisha Simba inashinda mechi zilizosalia.
Nimekaa palee.
Apia....Ushindi upo chama la wana
UsinichokozeApia....
Tuna viporo Viwili,
Point 47. Nafasi ya Tatu.
Azam ana point 54, Nafasi ya pili
Tukishinda hivyo viwili Tunakuwa na Points 53.
Sasa sisi tunabaki kuwaombea Azam dua wapoteze mchezo ili tuweze kucheza CAF CL
Nakupenda hivyo hivyo!!Nshakuambia umekaa kisiasa siasa, muongo muongo sana wewe....🤣🤣🤣🤣
Badala mjipange na pira la maana ambalo kiuhalisia hata halipo, nyie mnasema kuwaombea dua azam wapoteze🤣🤣🤣🤣
We fight for 2nd positionViva Simba Sports Club....!
Hayo Ndio Matokea ya Soka...!
Sisi tunaolifahamu Kabumbu.. Kwanza tunawapongeza Wachezaji.
Pamoja na Kuwa Matokea ni sare Lkn display ya Bolu was fine plus Fantastic goals, Zile goli za Namungo ni za Papatu Papatu.!
Mkononi kama sijakosea Kuna Mechi hazipungui 8...!
Wachezaji wakikaza CL & AFL kama Kawa.
Do not give up..! Hakuna kukata tamaa...this is Simba.Viva Simba