Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 14,307
- 22,807
Unaelekea kuwa tahira wewe kolo sio kosa langu unakuwa hasira hovyo hovyo.Punguani wa Akili kwenye ubora wake..!
Unaelekea kuwa tahira wewe kolo sio kosa langu unakuwa hasira hovyo hovyo.Punguani wa Akili kwenye ubora wake..!
Biashara wafanye wengine faida ulilie wewe 😂😂Simba wangese Sana... Wametia watu hasara leo!
Sababu una akili fupi ndio maana hamuelewani 😂Mkuu ebu endelea na kunyanyua Kombe lako ulilokosa kwa muda mrefu, naona tunapisha kwenye kueleweshana.
Inatiwa hao mbwa wafe kabisaSimba wangese Sana... Wametia watu hasara leo!
Simba kwa wajelajela huwa ni mdebwedo, wasipoangalia hata pale Mbeya huenda wakarudi na tren ya TazaraSimba haijawahi kufurukuta achezapo na Tanzania Prisons away. Huu ndiyo ukweli mchungu. Hata msimu uliopita, ilifungwa kule Sumbawanga.
huna cha kunielewesha mechi ya ligi unaleta story za CAFMkuu ebu endelea na kunyanyua Kombe lako ulilokosa kwa muda mrefu, naona tunapisha kwenye kueleweshana.
Umesahau tulikoanzia, uliuliza kuwa mnacheza ili iweje?huna cha kunielewesha mechi ya ligi unaleta story za CAF
Mnatufundisha kwa kufungwa?Umesahau tulikoanzia, uliuliza kuwa mnacheza ili iweje?
Nikasema tunacheza Ligi Kuu ili kukufundisheni namna ya kucheza CAF, kwa maana maandalizi ya CAF yaanzia kwenye Ligi Kuu
Upo hapo?
Mnatufundisha kwa kufungwa?Umesahau tulikoanzia, uliuliza kuwa mnacheza ili iweje?
Nikasema tunacheza Ligi Kuu ili kukufundisheni namna ya kucheza CAF, kwa maana maandalizi ya CAF yaanzia kwenye Ligi Kuu
Upo hapo?
Noma Sana huyu mwambaKichuya ni motoo, amefunga mabao matatu (hat-trick) dhidi ya Mtibwa
Hat-trick ni mgumu sana msimu huu
FT: Mtibwa Sugar 2-4 Namungo FC
Yalifungwa na Makambo na Joseph Semuju upande wa Mbeya CitySamahani Wakuu,
Naomba Kujua Wafungaji wa mechi ya Yanga na Mbeya City.
Na Hadi sasa Nani anaongoza kwa Ufungaji NBC ligi