Revolution
JF-Expert Member
- Feb 28, 2008
- 817
- 609
Huyu commentator magoli ya simba anaandika Goooal ila ya Kagera anaandika Kagera wanapata goli hapa
Ahmed Ally = Mohammed Saeed al-Sahhaf "Comical Ali" [Information minister during Iraqi war]
Ni Naibu Msemaji wa Klabu ya Yanga.Ahmed Ally = Mohammed Saeed al-Sahhaf "Comical Ali" [Information minister during Iraqi war]
Kama ulijuaLitarudi tu
Kwani haujaona lilipotokea?😀Likitokea wapi
Unajuaga kujipa moyo alafu timu yenyewe ni tripu shamba....Game nzuri.
Ushindi kwa Simba hadi sasa ni Inevitable
Mkuu ulijuaje?Draw
Sasa umeelewaYa kabati
Comical Ali indeed! 😁😁😁Ahmed Ally = Mohammed Saeed al-Sahhaf "Comical Ali" [Information minister during Iraqi war]
kibiashara zaidi, yanga na simba wakicheza club bingwa ni watu wengi sana wanalipia ving'amuzi vya azam kulikoni yanga na azam wakienda. kwa mantiki hiyo azam ubingwa wala nafasi ya pili hawana hesabu nao, wanajumuika tuAzam wakiipoteza hii nafasi nitawaona wapuuzi.
Si wengine maswala ya kibiashara hatuna faida nayo, ila tunachotaka Azam ashike nafasi ya pili.kibiashara zaidi, yanga na simba wakicheza club bingwa ni watu wengi sana wanalipia ving'amuzi vya azam kulikoni yanga na azam wakienda. kwa mantiki hiyo azam ubingwa wala nafasi ya pili hawana hesabu nao, wanajumuika tu
UnaotaKuna timu inapigwa goli za kutosha hapa
Ndio.Nyie simlitaka nafasi ya kwanza? Mshabadili malengo?
Benchi la ufundi tena? Kabla ya mechi dhidi ya Kagera si mlikuwa mnaimba wimbo mmoja kwa pamoja kuwa Mgunda apewe timu moja kwa moja.Hivi huyo Namba 9 wa Simba ni kwanini hafanyiwi sub ?
Au ndio mshika hirizi ?
Yeye na golikipa mara tatu anaishia kuutoa mpira nje.
Mechi ngumu sabu moja tu tena ya kumtoa kiungo mkabaji unategemea nini?
Simba kuna shida kubwa sana kuanzia benchi la Ufundi.
Hawa watani zetu nawaelewa vizuriKama ulijua
Ungejibu jana mechi ikiendeleaKwani haujaona lilipotokea?😀
Mzee mwenzangu huyu msemaji wao akili zake anazijuaga mwenyewe.