Inasikitisha sana kwa kweli.Dah, namuona kama vile ni mtu aliekata tamaa, sijui anaifikiria derby, au anajuta kuja TZ kuharibu CV yake kwa kufundisha timu yenye jina kubwa lakini inawachezaji wasio fundishika.
Kigwangwala aichukue timu sasa... Mpuuzi yule.WaPuuxi WANAKAA kupigaaa Dili za wachezajii na limewaajaaa dewji kawaachia mpambanr na TIMU yenuuuu dadaa
juzii magorii kaulizwa nasikia wachezajii wanalalamika dewji ayuko karibu na TIMU kama mnampiga afanyajee...
Jeeeez'...Happy Birthday....!🥂
Nimeota😌Jeeeez'...
Umejuaje eti..??
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wanacheza gemu ya leo akili yao ipo kwenda kuzuia goli mbili tarehe 20 wakifungwa moja na Aziz Key watatoka wanashangilia kweli kwa kusema mnaona hazijafika tano tena Timu ina ukuta wa Berlin hawa jamaa siku tatu wanasahau yote...
Ahsante sana kwa wishes mdogo wangu mzuri,Nimeota😌
Chai🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣