Ncha Kali
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 14,851
- 27,788
🤣🤣🤣
🤣🤣🤣
Ihefu Piga 3 SifuriIhefu msiwaumize sana hao. Tarehe 20 tuna jambo letu
Inahitajika mshikamane sasa na kuwa wamoja kama timu. Muache chokochoko na maneno maneno.Tunapitia wakati mgumu sana kama Utopolo miaka ile
Chuma ya kwenda wapi?Free Kick...
Yellow kadi.
Hii ni Chuma
Hawa mwaka huu hata bila mazoezi wanabondeka vizuri tu labda wakamieAngalau Simba wanashambulia Hawa Simba watakuwa wanacheza mind game dhidi ya Yanga ili tuwapuuze tuwe makini nao😂
Wanataka mbelekoHakuna penati wala red kadi. Chezeni mpira.
Piga haoo,ujumbe wa 7G,20th April, vingenevyo wajiandae kutapika point iii😝Dear makolo.... forgive me for not wishing you good luck for your game
I stand with ihefu ( mbogo maji)
Alikuwa benchika huyuShule alikua anakaa backbencher huyo
Pisi Kali wangu Makiseo nani tena anakusumbua? Sogea karibu upate pumziko la raha ya milele Kipenzi.
Mwanangu na wewe umeingia kwenye mkumbo wa definition ya jf ya neno 'feminist'
Mimi ni kikongwe
Aisee.. simba inanipa furaha na hii baridi na kamvua nyagi inashuka taratibuuuuu
TutaaaaAngalau Simba wanashambulia Hawa Simba watakuwa wanacheza mind game dhidi ya Yanga ili tuwapuuze tuwe makini nao😂