DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 8,998
- 18,605
Umenichekesha sanaBila shaka huyo binti ni mkavu, mbona shuka halijaloa yaani kama tone la mvua
Umenichekesha sanaBila shaka huyo binti ni mkavu, mbona shuka halijaloa yaani kama tone la mvua
Miquisonne yuko anajaribu jaribu vizuri hapaAah Rupia hakosi ngoja time yake
Wewe hua unalowesha chapachapa katereloBila shaka huyo binti ni mkavu, mbona shuka halijaloa yaani kama tone la mvua
Namsikia ila Miqson mli mhype sana hapa mnaweza kuongezwaMiquisonne yuko anajaribu jaribu vizuri hapa
Anateseka akiwa wapi? Kwa hio Banchika nae aondoke?Benchika anateseka
Napendaga unavyowapiga spana, Watakuelewa tyu😂😂😂😂
Mwanangu na wewe umeingia kwenye mkumbo wa definition ya jf ya neno 'feminist'
Mimi ni kikongwe
Sina Watoto 😃😃Kwa hio wewe ni Mama wa watoto wangap?
Nimemzingua tuWewe hua unalowesha chapachapa katerelo
Akikujibu hata Scars na Kalpana nitag hapo wamejikunyata na hii Mvua inawanyeshea baridiMuhasibu OKW BOBAN SUNZU kwemaaaa?!
Ihefu malizeni mpira chap tuwahi nyumbani....kibanda kitasombwa na mafuriko hiki
Hata Mimi nikajua hivyo nilitaka kushangaaNimemzingua tu