David Harvey
JF-Expert Member
- Jul 17, 2014
- 2,685
- 5,278
Hii mechi ZBC2 hawaoneshi? Maana kifuatacho wamebold mashujaa na ihefu.
Konkoni vipi huko Utopoloni? Anaendelea kukalishwa benchi na Walid..Kikosi cha Young AfricansView attachment 2751120
Ungeuliza kwanza kwann miquissone yupo benchi na kibu D kaanza ningekuona una akiliKonkoni vipi huko Utopoloni? Anaendelea kukalishwa benchi na Walid..
NilishaulizaUngeuliza kwanza kwann miquissone yupo benchi na kibu D kaanza ningekuona una akili
Huwa kuna saa Mzize anakera sana.
Hebu leo ajitahidi tusilalamike.
Nenda Azam Sport 1.Hii mechi ZBC2 hawaoneshi? Maana kifuatacho wamebold mashujaa na ihefu.
Pacome zouzou
Sahivi Yanga haiwategemei center forward moja Kwa mojaMimi kwangu bado hatoshi, sio yeye wala Musonda.