Updates
62' Mabadiliko Yanga: Wanatoka Mzize na Max wanaingia Moloko na Pacome
53: Asas FC 0-2 Yanga
52' Goaaaal: Musonda
Kipindi cha pili kimeanza
Halftime: Asas FC 0-1 Yanga
45' Asas FC 0-1 Yanga
25' Kadi ya njano: Mwamnyeto
Asas FC 0-1 Yanga
22' Goaaaal: Aziz Ki
20' Asas FC 0-0 Yanga
10' Asas FC 0-0 Yanga
5' Asas FC 0-0 Yanga
Mabingwa wa Tanzania, Young Africans almaarufu kama Yanga jioni hii wanaingia uwanjani kapambama na mabingwa wa Djibouti, Asas FC kwenye mechi ya hatua ya awali ya michuano ya CAF Champions League
Katika mechi hiyo itakayochezwa katika dimba la Azam Complex, Asas FC watakuwa wapo nyumbani na Yanga wakiwa ni wageni
Asas FC walichagua kutumia uwanja wa Azam kama uwanja wao wa nyumbani baada ya viwanja vya kwao Djibouti kukosa sifa za kutumika kwa mashindano haya
Mechi hii itaaanza kuchezwa kuanzia saa 11 jioni kwa saa za Afrika Mashariki