FT | Al Merrikh 0-2 Young Africans | CAFCL Group Stage Qualifier | Pele Stadium, Kigali | 16.09.2023

Huyu jamaa anazingua, macho mawili utaangaliaje TV mbili kwa wakati mmoja? Au ana makengeza jicho moja ataweka tv ya Kigali na jicho la pili ataweka tv ya Ndola?

Mi nashauri tumlazimishe kwa nguvu achague kuangalia mechi moja tu maana tuna uhakika ana macho mawili na lazima aangalie mechi ya Yanga ya Mzee wa kuchomekea Max Nzegeli! Simba ni ndondo club for now papatu papatu fc haina mvuto na haijui boli na itakandwa 3-0 na goli zote zitapatikana dkk 20 za kwanza!
Hahaha, nishaga-angalia games 3 kwa pamoja na zote zikaenda. Wale wa vibanda umiza ndio wanaweza kunielewa mzee. Akina Scars

Nyie yanga lazima mpasuke leo, ndio safari inaishia hapo, na hakuna viti maalumu mtarudi mchangani tuuu.
 
Kila la heri timu inayoipa heshima ukanda wa Afrika mashariki na kati kwasasa katika ulimwengu wa soka, Young Africans

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
2828547_IMG-20210703-WA0009.jpg
 
Almerrheik ndo kidudu gani ?
Ni mwendo wa tano tano zile zile

Wachumba tu hao
 
Yanga hii iñavunja records zote, kiboko ya Al Ahaly ni Usmer Alger, tulipata matokeo kwao.
Hii circle imenikumbusha mpambano kati ya Charles Augustus Magnussen na Sherlock Holmes.

Magnussen alikua anataka kupata info za MI6 kutoka kwa kaka yake Sherlock aitwae Mycroft Holmes. So akatengeneza mtego...

Mycroft anamjali sana mdogo wake Sherlock, ila Sherlock anamjali mtu mmoja tu rafiki yake John Watson. Na John Watson anamjali mke wake Mary pekee.
So Magnussen alijua akimtumia Mary basi moja kwa moja atampata Mycroft kutokana na chain hiyo hapo juu.

So simba wanamuogopa Al Ahly, Al ahly anapigwa ja USM Alger ambayo nayo ni same power or less kwa Yanga. So the real threat simba anatakiwa kumuogopa ni Yanga😅

👉Kisa chote kipo kwenye series hii..(S3Ep3)

1694849770132.png
 
wengi hamuelewi hili. kuanzia saa sita na madakika ambayo huwa tunaiita mchana (which is a general word), ni muda wa adhuhuri. adhuhuri inaisha saa tisa kamili.

kuanzia saa tisa kamili hadi saa kumi na moja, inaitwa alasiri.

kuanzia saa kumi na moja hadi saa moja, inaitwa "jioni", na hiyo inamaanisha hilo ni "jio la usiku".

nendeni mkawafundishe na wenzenu. kwa bahati mbaya hata maprofesa wa kiswahili pale udsm watashindwa hili swali.

Sasa ndio ututabirie hadi sisi maprofesa?
 
Back
Top Bottom