Utaratibu, ni kwa Mwenyekiti kuita watu mbele. Kipindi cha wawakilishi wa vyama vya siasa walishamalizika, CCM ilisahaulika, mwakilishi wa CCM Tambwe Hiza amesimama, kwanza anapigiwa makofi, anaanza kwa kumwaga masifa kwa JK, anazomewaThanks for the updates. Hivi wazungumzaji wanachaguliwa kwa kufuata priorities gani? Ni kila mtu anaweza kuchangia hapo ukumbini au ni wale waliopangwa tu?
NCCR Mageuzi wamesema wao hawaitaki kabisa hiyo Tume ya rais, bali wanataka Bunge litunge sheria ya kuunda Baraza la Kutunga katiba, na baraza hilo ndilo liunde tume ya kukusanya maoni ambapo rais has nothing to do na katiba mpya.
Mbatia amemaliza, anafuatia Mzee kijana wa APPPT-Maendeleo, Peter Kuga Mziray.
Hii ni habari MBAYA kwetuKufikia hapa, wanabodi wenzangu, naombeni niishie hapa nikaendelee na mambo mengine.
Ningetamani sana nikae mpaka mwisho, nisemeheni, sisi watanzania wenzenu, tunajikuta tunafanya shughuli za kitumwa, haswa tunapofanya kazi na wazungu, eti baadhi ya sikuu zetu, wao hawazitambui hivyo leo kwetu ni siku ya kazi, sio siku ya mapumziko, hivyo nawajibika kurudi jela kuendelea kutumikia kifungo cha hiyari kwa wazungu ili siku ipite.
Dr. Slaa anaubomoa muswada top down, left right, inside out, kwa hoja kuwa kama katiba ndio baba na ndio mama na katiba hiyo ni ya wananchi, rais ni zao la katiba, hivyo ni mtoto wa katiba husika, hivyo mchakato hauwezi kuongozwa na rais, kila kitu rais, ndio mwenye maamuzi ya mwisho, amesisitiza mamlaka yawe kwa wanachi kupitia wawakilishi wao waliowachagua bungeni.
Huyo rais si mchaguliwa? mi sioni tofauti kati ya raisi na mbunge. Mangapi wameboronga huko, I have no trust na wabunge, wamepitisha mangapi? Na je rais si sehemu ya bunge? watz tutalonga weee but tutabaki palepale we have no trustable people in everywhere.