Villanova tito
Member
- Dec 20, 2016
- 98
- 109
Inasikitisha sana Kwa mkoa wa Dar es Salaam na Wilaya zake kusambaa magenge ya utapeli na wananchi kuibiwa na Hawa matapeli wanaounda vikundi vyao maeneo ya mkusanyiko wa watu wengi kama Kariakoo, Ilala, Mbezi Mwisho na Mbagala kisha kuwahadaa Wananchi Kwa michezo ya kamali na mwisho wao wananchi wengi wanaibiwa
Sasa kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa wa dar es salaam chini ya mheshimiwa Albert chalamila hawalioni hili suala.
Au Hawa wahuni Wana mkono wa baraka kutoka Kwa serikali
Sasa kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa wa dar es salaam chini ya mheshimiwa Albert chalamila hawalioni hili suala.
Au Hawa wahuni Wana mkono wa baraka kutoka Kwa serikali