Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,812
- 218,468
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba Kamati Kuu ya chadema, ambayo mara zote ndio inayotoa Dira ya Taifa na Mwongozo wake, inakutana tena Jijini Dar es Salaam.
Sasa kwa hali hii ya Mgao wa Umeme, bei na uhaba wa mafuta, Mkataba wa Bandari, Katiba mpya, Tume huru ya Uchaguzi, Maridhiano na mengine mengi, uwe tayari kupokea maelekezo yatakayoongoza nchi kwa kipindi kilichosalia.
Taarifa yao hii hapa
Sasa kwa hali hii ya Mgao wa Umeme, bei na uhaba wa mafuta, Mkataba wa Bandari, Katiba mpya, Tume huru ya Uchaguzi, Maridhiano na mengine mengi, uwe tayari kupokea maelekezo yatakayoongoza nchi kwa kipindi kilichosalia.
Taarifa yao hii hapa