Freeman Mbowe na Mr.II Sugu wafanya kweli Iringa!

Alirudia sana maneno hayo Igunga, akisema CHADEMA wanafanya kazi ya Mungu.

Again, poor campaign advisement, CHADEMA kimepachikwa label ya chama cha kidini, haisaidii kuvua taswira hiyo kama kila hotuba ya Mwenyekiti inasisitiza anafanya "kazi ya Mungu, CHADEMA ni mpango wa Mungu." Kuna fumbo hapo? Mpango wa Mungu upi, wenye inclinations za kidini au wachambuzi wengine watajiuliza.

Ninaamini kabisa Dr. Slaa na JK waligawana kura za baadhi ya wananchi kwa misingi ya dini. Udini wa wananchi, sina hakika kama ulipaliliwa na CHADEMA na CCM wenyewe, sidhani, lakini udini wa wananchi uliathiri CHADEMA uchaguzi wa mwaka jana.

Mwenyekiti Mbowe, achana na mipango ya Mungu na kazi za Mungu. Tunaomba msisitizo wa mipango wa MUNGU
Wewe limbukeni kweli sasa ulitaka amtangulize shetani mbele au mwenzetu wewe ni mfuasi wa Shetani,bila kujari we ni mkristo wala mslamu wote tunamtegemea Mungu,ili Taifa liende vizuri ni lazima viongozi wamtangulize mbele.
 
Unafahamu serikali yako ya CCM imeuza madini yote, ikiwa haitoshi, imewaachia wawekezaji kumwaga maji yenye sumu kwenye mito na haya ndio madhara yake kwa akina mama na wananchi wengine wa mkoa wa Mara??
kilaza!!!
2.JPG


Hivi CDM si watumie picha kama hii Igunga kumwaga sumu ili kujibu mapigo ya DC ambayo kwao ndo imekuwa dili. Hivi kati ya DC na mwananchi huyu, nani kadhalilishwa zaidi?
 
Mbona kuna mtu humu jamvini huwa anasema eti Sugu alipata division four mtihani wa form four sasa hii thread ina ukweli gani?

So what? Mr. II is worth more than magamba's MPs, nani aliasisi bongofleva kama siyo yeye.
Wasiomkubali wana kijiba cha roho.
SUGU MOTO CHINI.........
 
Hivi CDM si watumie picha kama hii Igunga kumwaga sumu ili kujibu mapigo ya DC ambayo kwao ndo imekuwa dili. Hivi kati ya DC na mwananchi huyu, nani kadhalilishwa zaidi?

Duh; Nyamongo hii, walaaniwe CCM!
 
So what? Mr. II is worth more than magamba's MPs, nani aliasisi bongofleva kama siyo yeye.
Wasiomkubali wana kijiba cha roho.
SUGU MOTO CHINI.........

Sasa bongofleva ina uhusiano gani na maendeleo ya nchi?
 
Mbona kuna mtu humu jamvini huwa anasema eti Sugu alipata division four mtihani wa form four sasa hii thread ina ukweli gani?
mbona unahama katika mada, kinachojadiliwa hapa sio elimu ya Sugu bali ni anayoyafanya sasa km kiongozi, hata hivo wapo madaktari kama Kikwete lakini wanafanya madudu kila kukicha.
 
Education is what you perform not what you learnt.

Thank you very much. I think you hit the nail at the right place. Nikiongezea tu; Education unayopata darasani haitoshi; you have to keep on learning. Sasa wasomi wengi Tanzania baada ya ku-graduate wamepumzika wanafikiri wamemaliza. Hii imefanya wazidiwe knowledge na skills na watu ambao wengine hata hawakufanya vizuri sana in class. Ni wazi pia kuwa; education system ya Tanzania imelenga kuwafanya wanafunzi wawe wazuri wakukariri hivyo kushindwa ku-apply elimu ile wanayopata kwenye maisha ya kawaida. Mtu anaweza kuwa alipata DIV one kwasababu ya uwezo wakukariri, mara nyingi mtu kama huyo akipewa responsibility hata katika fani ile ile aliyoisomea atachemsha tu. Ndio hayo ya JK kuwa na degree ya Uchumi but look at his performance.
 
Jana Mh. Freeman Mbowe ambaye ni Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo-CDM pamoja na Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu ambaye ni Mbunge wa Mbeya Mjini walifanya kweli katika mji wa Manispaa ya Iringa.

Shughuli hii inafuatia kuwapo kwa Uchaguzi mdogo katika kata tatu za Kitanzini, Gangilonga na Kihesa zilizopo hapa mjini.

Katika Mkutano ule Mbowe alinukuliwa akisema kuwa Kinachotea sasa SI MPANGO MZIMA TU BALI NI MPANGO WA MUNGU, Kwamba kumekuwepo njama za kutaka kukatisha harakati za Kupigania Mabadiliko zifanywazo na Chadema lakini kwa Kudra za Mwenyezi Mungu Harakati zinasonga mbele.

Mbowe pia alitumia nafasi hiyo kuwataka wanachama wa chama cha mapinduzi wawaunge mkono chadema kwani ndicho chama haswa chenye nia thabiti ya kutaka kuleta mabadiliko kwa maendeleo ya watanzania, Mwenyekiti Mbowe alimalizia kwa Kuwaombea Kura madiwani wake.

Mh. Sugu kama kawaida alifunga mkutano kwa Mistari na kusisitiza kuwa Chadema ni dume la mbegu kweli na kuahidi kudhihirisha hili katika shughuri ya Igunga coz kwa mpango wa chama Muziki rasmi utaanza trh 25 Sept 2011 timu ya Makamanda itakapo wasili rasmi kwa Kazi!

walifanya kweli kivipi? acha longolongo leta picha
 
mbona unahama katika mada, kinachojadiliwa hapa sio elimu ya Sugu bali ni anayoyafanya sasa km kiongozi, hata hivo wapo madaktari kama Kikwete lakini wanafanya madudu kila kukicha.

fafanua anafanya nini cha ajabu kama kiongozi
 
Alirudia sana maneno hayo Igunga, akisema CHADEMA wanafanya kazi ya Mungu.

Again, poor campaign advisement, CHADEMA kimepachikwa label ya chama cha kidini, haisaidii kuvua taswira hiyo kama kila hotuba ya Mwenyekiti inasisitiza anafanya "kazi ya Mungu, CHADEMA ni mpango wa Mungu." Kuna fumbo hapo? Mpango wa Mungu upi, wenye inclinations za kidini au wachambuzi wengine watajiuliza.

Ninaamini kabisa Dr. Slaa na JK waligawana kura za baadhi ya wananchi kwa misingi ya dini. Udini wa wananchi, sina hakika kama ulipaliliwa na CHADEMA na CCM wenyewe, sidhani, lakini udini wa wananchi uliathiri CHADEMA uchaguzi wa mwaka jana.
Mkuu labda ungejiuliza ni Mungu yupi anayemzungumzia lakini siamini kama hii statement yake inalenga kwenye dini fulani specific. Ni kweli kwamba kuna wahindi wanaabudu "Ngo'mbe" na huyu kwao ni "Mungu" wao. Devil worshippers nao wana Mungu wao vile vile. Hata wale ambao bado wanaabudu dini za jadi/kale wana Mungu wao wa Jadi. So kusema neno Mungu huwezi ku-link moja kwa moja na dini fulani unless unamfahamu Mbowe kwa undani sana kiasi ambacho unajua kichwani kwake alikuwa anataka kupeleka ujumbe upi. Regardless how we interprete it, mara nyingi kila kitu ni perception. Utapata perception ya kitu fulani kutokana na unavyoamini au unavyotaka kuamini. Hatakama kitu hakipo kutokana na perception tunaweza ku-influence kitu fulani kilete maana fulani. Kumbuka tuliambiwa JK ni chaguo la "Mungu" lakini watu wakachukulia positively simply because of perception. Watu hawakuanza kujiuliza Mungu wa nani, yupi etc. Most if not all people wakati ule walielewa "Mungu" in a meaning ya kitu anachokiamini mtu mwenyewe (higher power/nguvu ya juu zaidi ya mwanadamu). Sasa (Mungu) anaweza kuwa kitu au mtu kutokana na wewe unachoamini na sio dini fulani. (Just a personal view).
 
Division I,II,III,na IV kwa matokeo ya kidato cha NNE siyo determination ya uwezo wa mtu milele na milele, wapo wanaopata Div.IV kama ajari tu na kwa Nchi kama tanzania siweni nikashangaa; tunaangalia baada ya hapo huyo mtu amejibidisha kivipi ili mambo yamnyokee. wangapi tumekutana nao Vyuoni na Div.I zao lakini uwezo wa kuchanganua mambo hawana na mwishoe wanaishia na GPA za maajabu (PASS). Hachana na mawazo mgando bwana Badlilika.
 
Sugu nenda Mbeya kawape pole wapigakura wako wameunguliwa na masoko ata atujasikia tamko lolote. Usifate mkumbo kimbilia Mbeya wewe unaweza kukosa Ubunge 2015 kwa kutoshirikisha akili, Unamsaada wowote kwa wapiga kura wako.
 
Sugu nenda Mbeya kawape pole wapigakura wako wameunguliwa na masoko ata atujasikia tamko lolote. Usifate mkumbo kimbilia Mbeya wewe unaweza kukosa Ubunge 2015 kwa kutoshirikisha akili, Unamsaada wowote kwa wapiga kura wako.

Sugu hana msaada wowote yule pimbi tu
 
Mbona kuna mtu humu jamvini huwa anasema eti Sugu alipata division four mtihani wa form four sasa hii thread ina ukweli gani?

kwan mukulu alipata div . gani... Chuo kwenyeye kaondoka na gentle na kujeruiwa vibaya na supplementary....
 
rais kibaki wa kenya ni rais wa kwanza afrika muhitimu wa chuo kikuu lakini angalia upupu alioufanya kung'ang'ania madaraka,Daudi Balali alifaulu vizuri sana but cheki madudu yake,haijalishi ulipata nini shule,whats matter ni kuwa umeachieve nini baada ya hapo.

Ndugu yangu hapo kwenye red hebu acha uzushi! Yaani unataka kuniambia wote hawa, tena waasisi wa mataifa yao, hawakuhitimu vyuo vikuu? Au kwako chuo kikuu maana yake nini?: Dr. J. K. Nyerere, Dr. Kwame Nkrumah, Dr. Milton Obote, Dr. Kenneth Kaunda, Dr. Robert Mugabe, Dr. Hastings Kamuzu Banda, ... Wakati mwingine kuwa serious unapojadili mambo muhimu badala ya mizaha ya uswahilini.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom