seedfarm
JF-Expert Member
- Feb 9, 2020
- 260
- 2,654
Akiwa mbele ya halaiki kubwa mjini Tunduma kwenye mkutano uliohudhuria na maelfu kwa maelfu ya watu Mbowe ameyaongea yafuatayo kwa kunukuu;
"Damu ya wana Tunduma itamlilia David Silinde daima kwa kusaliti CHADEMA na kuamua kumuamini mwanadamu (John Magufuli) badala ya kumuamini muumba wa mbingu na nchi.
"David Silinde yampasa atubu kwa imani yake kanisani kwa utekaji alioungoza kwa viongozi wenzake wa zamani CHADEMA ili kumfurahisha Magufuli.
"CHADEMA hawamhukumu Silinde, lakini damu na vilema vya watu vitamfuata na kumlillia kila kona mpaka pale atakapo omba msamaha kwa wana Tunduma."
Davide Silinde alipokelewa na Freeman Mbowe mwaka 2008 CHADEMA akiwa mwanafunzi wa mwaka wa pili Chuo Kikuu kafundishwa siasa za majukwaani.
David Silinde ni mtu aliyetoka familia fukara sana hivyo wana Tunduma walimpenda na kumuamini kuwa hataweza kuwasaliti kwa vipande vya fedha na kama kuna siku angewasababishia ulemavu wa kudumu ili kumfurahisha Magufuli.
Freeman Mbowe, "Silinde tulimnunulia nguo na viatu kwani hakuwa na uwezo kwa wakati huo ili autumikie umma wa wana Tunduma, lakini akaamua kuwa msaliti kwa kusaliti damu za maelfu ya wana Tunduma waliomsaidia kupata ubunge."
Freeman Mbowe akanukuu injili ya Mathayo kuhusu Yuda Iskariote kwa kununuliwa kwa vipande vya fedha akifananisha na Silinde aliyeamua kuuza utu wake na heshima yake kwa Magufuli.
Akikamilisha kwa uchungu hotuba yake iliyowaliza akina mama pamoja na familia waliofungwa na kutekwa na Bwana Silinde aliyoongoza genge la wahuni mjini Tunduma, Freeman Mbowe anasema, nanukuu;
"Familia za wote waliofungwa na kutekwa wapite mbele, naona kuna wengine walemavu kutokana na David Silinde. Msihofu wana Tunduma mlipigania haki na haki haitaenda bure daima, David Silinde kuna siku madhira aliyowatendea yatamrudia yeye mwenyewe kama hatawaomba msamaha wana Tunduma. Sisi wakristo tuna amini katika msamaha."
"Damu ya wana Tunduma itamlilia David Silinde daima kwa kusaliti CHADEMA na kuamua kumuamini mwanadamu (John Magufuli) badala ya kumuamini muumba wa mbingu na nchi.
"David Silinde yampasa atubu kwa imani yake kanisani kwa utekaji alioungoza kwa viongozi wenzake wa zamani CHADEMA ili kumfurahisha Magufuli.
"CHADEMA hawamhukumu Silinde, lakini damu na vilema vya watu vitamfuata na kumlillia kila kona mpaka pale atakapo omba msamaha kwa wana Tunduma."
Davide Silinde alipokelewa na Freeman Mbowe mwaka 2008 CHADEMA akiwa mwanafunzi wa mwaka wa pili Chuo Kikuu kafundishwa siasa za majukwaani.
David Silinde ni mtu aliyetoka familia fukara sana hivyo wana Tunduma walimpenda na kumuamini kuwa hataweza kuwasaliti kwa vipande vya fedha na kama kuna siku angewasababishia ulemavu wa kudumu ili kumfurahisha Magufuli.
Freeman Mbowe, "Silinde tulimnunulia nguo na viatu kwani hakuwa na uwezo kwa wakati huo ili autumikie umma wa wana Tunduma, lakini akaamua kuwa msaliti kwa kusaliti damu za maelfu ya wana Tunduma waliomsaidia kupata ubunge."
Freeman Mbowe akanukuu injili ya Mathayo kuhusu Yuda Iskariote kwa kununuliwa kwa vipande vya fedha akifananisha na Silinde aliyeamua kuuza utu wake na heshima yake kwa Magufuli.
Akikamilisha kwa uchungu hotuba yake iliyowaliza akina mama pamoja na familia waliofungwa na kutekwa na Bwana Silinde aliyoongoza genge la wahuni mjini Tunduma, Freeman Mbowe anasema, nanukuu;
"Familia za wote waliofungwa na kutekwa wapite mbele, naona kuna wengine walemavu kutokana na David Silinde. Msihofu wana Tunduma mlipigania haki na haki haitaenda bure daima, David Silinde kuna siku madhira aliyowatendea yatamrudia yeye mwenyewe kama hatawaomba msamaha wana Tunduma. Sisi wakristo tuna amini katika msamaha."