kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 14,610
- 16,867
Ili uchunguzi ukamilike huyo aliyetowa taarifa ni lazima ahojiwe kwa kina!Mamluki David Silinde , mtu duni aliyeokotwa na Chadema akiwa hana lolote , ambaye alitunukiwa unaibu Waziri na Magufuli akishirikiana na watu wa Usalama kwa masharti , leo ametajwa hadharani mchana kweupe kwao Tunduma , kwamba ALISHIRIKI VITENDO VYA KUTEKA , KUTESA NA KUUA VIONGOZI WA CHADEMA TUNDUMA ILI KUMFURAHISHA MAGUFULI .
Hii si tuhuma ndogo ya kunyamaziwa na Jeshi la Polisi , Na hasa kwa vile imetolewa na MTU WA KUAMINIKA , FREEMAN MBOWE .
Itakuwa aibu na fedheha kubwa sana ikiwa Jeshi la Polisi litaacha kumkamata Silinde na kumhoji kuhusu jambo hili , uchunguzi huu waweza kufumua mambo mengi kuhusu masharti waliyopewa wasaliti wengine wakiwemo Mashinji , Slaa , Lijuakali , Nassari na wengine , je hawa nao wameteka na kuua wangapi ?
Angalizo : Kila Ubaya Utalipwa tu .