johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,138
Mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe juzi aliutangazia Umma kwamba Naibu Waziri pale Tamisemi David Silinde ni mtekaji na amewasababishia wananchi kadhaa vilema vya kudumu
Kabla Jimbi hajawika David Silinde amehamishiwa Wizara nyeti ya Mifugo na Uvuvi
Sasa huyu Mbowe hizi Taarifa za Utekaji amezitoa wapi
Au tuseme Mbowe amezungukwa na Washauri wazushi wazushi maana ni kama amelidanganya Taifa
Kabla Jimbi hajawika David Silinde amehamishiwa Wizara nyeti ya Mifugo na Uvuvi
Sasa huyu Mbowe hizi Taarifa za Utekaji amezitoa wapi
Au tuseme Mbowe amezungukwa na Washauri wazushi wazushi maana ni kama amelidanganya Taifa