Mungu mtakatifu ubarikiwe.
Mungu mtakatifu ndo mtoa baraka, nani alie zaidi yake kumbariki?
Mungu mtakatifu ubarikiwe.
picha?
maajabu yako wapi sasa?unajua maana ya maajabu wewe???
Mimi wananikera sana.
suala si kupiga kura bali ni mchango wa mawazo na vitendea kazi, hawa jamaa wamehaidi kutoa pikipiki 126 kwa chama, vitasaidia chama kwa kiasi kikubwa sana kufika vijijini hata ambako magari hayafiki, chadema kwa lazima ichukue nchi 2015.Hivi hawa jamaa wa diaspora huwa wanapiga kura kweli hawa?
Kaburi lisha chimbwa na maiti Ya CCM isha tolewa mochwari, tunasubiri mazishi 2015
Hivi siku hizi mambo yote ni kwa diaspora? Hivi ni kweli wanaenda kufungua matawi au wanasukumwa na posho na kutembea ughaibuni? Mipango ya diaspora kupiga kura ikoje ifikapo 2015 manake isiwe kufungua tu matawi lakini mwisho wa siku hao wanachama wanakuwa hawana maamuzi siku ya kupiga kura!
Hivi siku hizi mambo yote ni kwa diaspora? Hivi ni kweli wanaenda kufungua matawi au wanasukumwa na posho na kutembea ughaibuni? Mipango ya diaspora kupiga kura ikoje ifikapo 2015 manake isiwe kufungua tu matawi lakini mwisho wa siku hao wanachama wanakuwa hawana maamuzi siku ya kupiga kura!
wewe inaelekea umejifungia kwenye kibox kidogo au tayari umeshalewa falsafa za magamba kwamba kila anayetoka nje ya Tanzania ni kwa ajili ya posho au mambo binafsi! Kwanza uelewe lazima chama kijimbanue ndani na nje ya nchi na pia kuna mchakato mzima wa katiba na hili la watu walio ughaibuni kuruhusiwa kupiga kura kwenye balozi zetu au kwa njia ya mtandao litaingizwa so kamanda mbowe yupo kueleza itikadi na falsafa za chama nje ya Tanzania na kutafuta marafiki pia!!na kuhamasisha watanzania walio nje wenye kipato kizuri wawekeze Tanzania na wasaidie pia vuguvugu la M4C ili 2015 mambo yaende sawa!
Wengi wajiunga Chadema, Mkusanyiko ulikuwa ni mkubwa sana kwa historia ya mwana siasa yeyote aliyewahi kutokea Houston TX . Mbowe awabadili Wana CCM na kuwa Chadema. Mbowe afanya Houston kuwa base ya CHADEMA na wanachadema watoa Pikipiki 126.
Weka picha wacha porojo, za Kinana tumeona DC.
Ukute ni afadhali ya Lema pale bar ya Wakenya, London.
Weka picha wacha porojo, za Kinana tumeona DC.
Ukute ni afadhali ya Lema pale bar ya Wakenya, London.......
wamehaidi
watu wengine bwana jimboni kwake hai kuna shida ya kila namna lakini yeye kiguu na njia kutafuta sifa kwa walowezi ambao hata kura huwa hawapigi
watu wengine bwana jimboni kwake hai kuna shida ya kila namna lakini yeye kiguu na njia kutafuta sifa kwa walowezi ambao hata kura huwa hawapigi