Weka picha wacha porojo, za Kinana tumeona DC.
Ukute ni afadhali ya Lema pale bar ya Wakenya, London.
Zomba
Houston kuna mtambo wa kufyatua digrii subiri utasikia! Si mgombea uraisi lazima awe na digrii?
Chama
Gongo la mboto DSM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka picha wacha porojo, za Kinana tumeona DC.
Ukute ni afadhali ya Lema pale bar ya Wakenya, London.
Hawa watu wa Sensa wa ajabu.
Wanamkuta mtu amejipangia kachumba kake kamoja halafu wanamuuliza kama humo ndani anafuga ng'ombe au kuku!!
watu wengine bwana jimboni kwake hai kuna shida ya kila namna lakini yeye kiguu na njia kutafuta sifa kwa walowezi ambao hata kura huwa hawapigi
Hivi siku hizi mambo yote ni kwa diaspora? Hivi ni kweli wanaenda kufungua matawi au wanasukumwa na posho na kutembea ughaibuni? Mipango ya diaspora kupiga kura ikoje ifikapo 2015 manake isiwe kufungua tu matawi lakini mwisho wa siku hao wanachama wanakuwa hawana maamuzi siku ya kupiga kura!
Umaskini wa kifikra hapa tanzania ni mkubwa kuliko hata umaskini wa kipato. We jamaa inawezekana una utajiri wa kipato lakini kifikra ni maskini kupindukia, far below thinking poverty level...Ha ha ha ha daaaaah kweli wajinga ni chakula cha wasomi...................eti kuwekeza nchini Haha haha ha haaha haaaaa........
Nyie ambao wengi wenu huko life ni kuunga unga ndo mje muwekeze huku.......give the poor Tanzanians a break please....mliamua kukaa huko na myamalize huko huko wenyewe kwa wenyewe......uwekezaji unahitajika kweli ila you are not of the capacity banaa
Wengi wajiunga Chadema, Mkusanyiko ulikuwa ni mkubwa sana kwa historia ya mwana siasa yeyote aliyewahi kutokea Houston TX . Mbowe awabadili Wana CCM na kuwa Chadema. Mbowe afanya Houston kuwa base ya CHADEMA na wanachadema watoa Pikipiki 126
Wakati Mh Mbowe yuko huko mamtoni,, Dr Slaa na akina Kigaila wako huko vijijini wanatoa elimu. Au hujui kuwa wameuzunguka mkoa wa Morogoro na kuvuna wanachama wapya zaidi ya 50,000 na kuwavua magamba wengine zaidi ya 7000 na kuwavalisha gwanda. Twanga kotekote ndio mpango mzima wa chama cha msimu. Nape atashindwa aanze vipi kujibu mapigo, aanzie Houston au Kilosa???Tanzania bado kuna watu wengi hawana ufahamu wowote katika kujua haki zao za kidemokrasia wanaitaji kupewa elimu ya uraia, wafuateni hao kwanza sio kukimbilia Ulaya na Marekani kufungua matawi tatizo la Watanzania sio matawi.
watu wengine bwana jimboni kwake hai kuna shida ya kila namna lakini yeye kiguu na njia kutafuta sifa kwa walowezi ambao hata kura huwa hawapigi
Kaburi lisha chimbwa na maiti Ya CCM isha tolewa mochwari, tunasubiri mazishi 2015
Hivi siku hizi mambo yote ni kwa diaspora? Hivi ni kweli wanaenda kufungua matawi au wanasukumwa na posho na kutembea ughaibuni? Mipango ya diaspora kupiga kura ikoje ifikapo 2015 manake isiwe kufungua tu matawi lakini mwisho wa siku hao wanachama wanakuwa hawana maamuzi siku ya kupiga kura!
Tanzania bado kuna watu wengi hawana ufahamu wowote katika kujua haki zao za kidemokrasia wanaitaji kupewa elimu ya uraia, wafuateni hao kwanza sio kukimbilia Ulaya na Marekani kufungua matawi tatizo la Watanzania sio matawi.