Forbes releases African rich list...

Some years to come tusishangae kuona Ridhwan nae ni mmoja wa matajiri.
 
BAKHRESA HAWAJAMTENDEA HAkI AM SURE JAMAA KWENYE ToP 20 AFRICAN RICH LIST HAWEZI KUKOSEKANA

hiyo ndio list yenyewe ndg, bakhresa hata kwa macho tu ukiangalia unaona hamfikii Uhuru Kenyata..you do not need the brain surgery to understand that!
 


Akili za watawala wetu na zetu hazina tofauti sana. Nchi hii inachukia sana watu wanaojitahidi kihalali na kuwa matajiri na kulipa kodi na kuajiri watu. The entire system is pretty much AGAINST WEALTH CREATION bali ni mfumo ambao umekaa kuwapendelea wageni na kuanzia kwenye procurement mpaka kazi ambazo zinaweza kufanywa na wazawa...kila kitu serikali inaona wageni ni bora zaidi kuliko sisi.

Serikali yetu haitaki kuona wazawa wanaendelea na inataka ifanye kila kitu (kutunyima umeme, mfumo onevu wa kodi etc...hivi inawezekana vipi kampuni kama Asas dairy isiwe mmoja kati ya waajiri wakubwa Tanzania? Inawezekana vipi kampuni za ndani kama MECCO na zinginezo zikaachiwa kufa na CRJE na wachina wakawa wanapewa matenda ya kujenga kila jengo na barabara zetu? Kwa nini mtu kama Bakhressa pamoja na kutoa employment kampuni zake ziwe vile vile kwa karne 3?

Mbaya zaidi wewe msomaji ukiangalia hata hao the so called vijana ambao tunaweza kusema kuwa wanajaribu kufurukuta sidhani kama kuna dalili za kufiika kokote kule...kwani kama si system itakuwa against him bas watu wake wakaribu ndio watafanya kumdidimiza Tazama toleo la jana la FORBES MAGAZINE utaona MOHAMMED ALIKO DANGOTE wa Nigeria ambaye ni kama Bkhressa wao ameweka kuongeza utajiri na kuajiri watu zaidi na kulipa kodi zaidi kule ili hali bakhressa, Mengi and the usual names wetu wako pale pale.

Its just embarassing kusoma eti Mengi alilalamika apewe nyumba ya NHC kisa wahindi wanazo...come on this dude is supposed to be a multibillionaire!

more? sie tuko bize kuwapiga vita wale wa Yemen wa Home Shopping Centre (after all hakuna aliyewashtaki) au Tanil wa Shivacom ambao walipopata nafasi wamezitumia sie tuko bize kuandika ma paper ya VISION 2025 ambayo we all know we care less about. Pinda alikuwa na moto wa Kilimo kwanza lakini we all know kuwa kulima si mvua na ma trekta pekee....tunahitaki MBOLEA lakini nadhani wote mnajua yaliyotokea watu walipotaka kujenga kiwanda cha mbolea Mtwara mwaka jana


Media?Tazama kijana kama Maxence Mello ameanzisha JF lakini akili yake imekuwa kama vile imegota. JAMII MEDIA is no where to be seen kwa sababu hakuwa na mentor wa ukweli, JF ilitakiwa ikue na ingekuwa media house kubwa kwa kuzingatia 70% ya population ya waTZ ni under 30 so JAMII MEDIA ingekuwa an obvious attraction kwa market segment hiyo lakini tazama...kijana ameridhika na vijitangazo vya TIGO hapo chini na the so called washauri wake hawataki kumwambia kitu kinachoitwa EVOLUTION... and you cant be fighting people all the time sasa anaonekana ni stooge wa both CHADEMA na CCM...I mean whats so hard kujin forces na mtu kama mwanakijiji na wakaanza akamsaidia na internet radio? au hata kukopa pesa bank na kuanzisha gazeti ambalo litakuwa NEUTRAL? I mean technology imekuwa rahisi sana tuna spend muda mwingi kuchukiana tuuuu kuanzia TOP to BOTTOM.

Hizi politics of hate creation zitatufikisha au zishatufikisha pabaya. Kila kitu chetu ni sub standard kuanzia bidhaa zetu, serikali yetu, watawala wetu, vijana wetu, barabara zetu, timu zetu za michezo,shopping malls zetu, blogs zetu, nyumba zetu, websites zetu, chakula chetu na hata thinking yetu na mtu akiwa na gari kidogo bas keshakuwa FISADI na mbaya zaidi hata hao ma GRADUATES washakuwa programmed kuwa akimaliza kazi akafanye kazi serikalini kwenye comfort zone...no one wants a challenge....kazi kulalamika weee...

I mean how hard is it kumchallenge MAHINGILA wa BRELA aache ipuuzi wa kuchaji watu elfu 20 kufanya name search wakati software ya billioni 2 iko pale BRELA? lakini JF is not interested kuwasaidia wajarisia mali kufight for this ili iondolewe hii kitu kwani ni jambo ambalo linaweza likawekwa online ikarahisisha kazi....well ilikuwepo thread kulalamika lakini ikahamishwa (siri anaijua Max na Mahingila)

enough with the rant....

soma hapa:

Meet Chris Kirubi, Mr. Kenya

800px-Chris_Kirubi%2C_2009_World_Economic_Forum_on_Africa.jpg


Meet Chris Kirubi, Mr. Kenya - Forbes



Africa's 40 richest

Africa's 40 Richest

Mohammed Aliko Dangote

1111_aliko-dangote_650x455.jpg


Nigerian commodities titan Aliko Dangote is also Africa's cement king. In late 2010, he listed Dangote Cement on the Nigerian Stock Exchange. The company integrated Dangote's cement investments across Africa, including Benue Cement, formerly listed on the Nigerian Stock Exchange. It's now the largest company on the Nigerian exchange, with a market capitalization of $10 billion. In August, Dangote received approval from the Central Bank of Nigeria to invest $4 billion to build a new cement facility in the Ivory Coast. He's also building a $115 million cement plant in Cameroon, and owns plants in Zambia, Senegal, Tanzania and South Africa, among others. Dangote started trading commodities more than three decades ago after receiving a business loan from his uncle. He then built the Dangote Group - a leading West African conglomerate with interests in cement manufacturing, sugar refineries, flour milling and salt processing. Venerable philanthropist has given away millions to education, health and social causes.

http://www.forbes.com/lists/2011/89/africa-billionaires-11_Aliko-Dangote_64RI.htm
 
Kwa bahati mbaya nawe upo kwenye hiohio boti ya kulalamika bila kufanya kitu halisi. Ni vicious circle, unaendelea kulaumu na kulalamika. Basi tuambia unafanya nini walau chenye domino effect.
 
kwa akili yako Tanil Somaiya ni mjasiriamali sio? Huna tofauti na akili za JK! BTW naona mfumo uislam kwenye makala yako maana sioni mantiki ya Mengi kuhusishwa na kupewa nyumba za NHC Wahindi? Kwani yeye hafai kuwa mpangaji/mteja? au kununua? si zinauzwa kwa kila mtu sasa? BTW huyo Cris Kirubi ana kesi ya kuifilisi Uchumi Supermarket ukiacha ukweli ameuza kampuni yake ya HACO Industries kwa Tiger Brands baada ya kushindwa ushindani!
 
Kwa bahati mbaya nawe upo kwenye hiohio boti ya kulalamika bila kufanya kitu halisi. Ni vicious circle, unaendelea kulaumu na kulalamika. Basi tuambia unafanya nini walau chenye domino effect.

Matatizo yale yale ya hate?? nani kasema badala ya kujadili hoja kazi kwelikweli tutafika??
 
Nilipokuwa nasoma i thought that you would have come with solution kwamba what is suppose to be done but you're just on the same boat unalalama na kalaumu bila kufanya kitu halisi
 
I mean how hard is it kumchallenge MAHINGILA wa BRELA aache ipuuzi wa kuchaji watu elfu 20 kufanya name search wakati software ya billioni 2 iko pale BRELA? lakini JF is not interested kuwasaidia wajarisia mali kufight for this ili iondolewe hii kitu kwani ni jambo ambalo linaweza likawekwa online ikarahisisha kazi....well ilikuwepo thread kulalamika lakini ikahamishwa (siri anaijua Max na Mahingila)
Well, sijajua uliandika thread hii ukiwa ktk mood gani...

Nadhani ni hii unaongelea - https://www.jamiiforums.com/busines...597-mahingila-of-brela-another-dodgy-ceo.html
 
Nilipokuwa nasoma i thought that you would have come with solution kwamba what is suppose to be done but you're just on the same boat unalalama na kalaumu bila kufanya kitu halisi

keshajua tatizo njia zipi tuzifuate ili kuivunja hiyo viscous circle na je yeye kama yeye ameishashiriki hata kwenye kitu gani cha maendeleo? bora hata max kajitahidi kutuwekea hata mahali pakuandikia malalamiko yetu..
 
Yule tajiri mwenye asili ya Sudan anayetoa zawadi kwa viongozi waadilifu watafu wa kiafrica Mo Ibrahim simuoni kwenye hii listi
 
Nadhani list inaonyesha ukweli. Kama kuna biashara lakini records not kept properly usitegemee mtu kutajwa! Kama mali nyingi mtu anaandikia watoto na nyingine ghosts ili asionekane yuko rich hawezi tokea kwenye hii list.
 
Tatizo la wabongo mnaangalia utajiri kwa kuhesabu idadi ya magari. Forbes wanaangalia una pesa ngapi kwenye bank kubwa duniani sio NMB na wanaangalia una hisa ngapi katika makampuni makubwa. UHURU ukimfuatilia utakuta ana hisa nyingi sana kwenye makampuni makubwa ya utalii, real estates, telecomunications na madini zinazotrade kwenye soko la dunia. Wabongo hatuna utamaduni wa kununua share, pesa zetu tunajengea nyumba/vyumba vya kupangisha, ndio maana inakuwa vigumu kuingia kwenye list ya forbes. Forbes hawana muda wa kupita kila mtaa kuulizia nyumba inamilikiwa na nani, wao wanaangalia data za kwenye masoko makubwa ya hisa duniani.
 
Uhuru is not as rich as Bakhresa.....
Forbes needs to do their homework in africa

Utajiri wa Uhuru ni mkubwa mno, baada ya BABA yake kupora nchi. Familia ya Kenyatta ina miliki mali nyingi kenya, mashamba, viwanda na kadhalika!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom