Wakiwepo wewe utawapenda?.......walikuwepo zamani.....wakajashtukia kumbe humu duniani kumejaa usanii wakabadilika.....siku hizi imebaki kuuziana cheni feki na kulipana noti bandia lol.......ilimradi maisha yanasonga mbele.......ila sio kama hawapo kabisa.....wapo sema wakuhesabu!
Kumbe unajua wapo. Hebu niambie na wewe enzi zako ulivyokuwa kama wao
Inaonyesha wanaume wengi sana wanapenda vichenchede!
Hahahaha jamani, jamani lol........kumbe kugandwa nako hampendi eeh?.......sasa asipokuganda utajuaje kama anakupenda?
mamito msichana akupendaye hujali muda pia...maana anajua muda wa kuwa naye ukifika unatumika ipasavyo....kuna hawa wasichana huwa wanapenda kushow off ile mbaya na akukute ndio handsome kama mimi watu8, mbona utabandikwa picha zako sijui tagged,fb,netlog utadhani mgombea wa Chagua CCM.
mamito msichana akupendaye hujali muda pia...maana anajua muda wa kuwa naye ukifika unatumika ipasavyo....kuna hawa wasichana huwa wanapenda kushow off ile mbaya na akukute ndio handsome kama mimi watu8, mbona utabandikwa picha zako sijui tagged,fb,netlog utadhani mgombea wa Chagua CCM.
huyu kijana sijawahi kumtia machoni...itakua ngumu kuthibitisha hilo teh teh teh