Baada ya Baadhi ya vyombo vya habari kutoa habari kuhusu kuwepo kwa fomu ya kujaza kupinga Muungano.
Tayari misusuru mikubwa ya watu kujitokeza kujaza fomu hiyo imekuwa kubwa.
Tayari fomu hizo zimeenea ktk vyuo vikuu vya Tanzania bara na hata huko Visiwani.
Wanaonekana kujitokeza kwa wingi na baadhi ya wanasiasa na wasomi wa Zanzibar bila kuangalia chama chao
Kwa mujibu wa mmoja wa mtu anaeratibu kazi hiyo kwamba kweli wazanzibar wameamua kujitoa muhanga kuhusu hili.
UAMSHO walipanga kupata saini 450,000 (100% ya malengo yao) ambayo kwao wadai ni ushindi
Jee nini mustabali wa Muungano
Tayari misusuru mikubwa ya watu kujitokeza kujaza fomu hiyo imekuwa kubwa.
Tayari fomu hizo zimeenea ktk vyuo vikuu vya Tanzania bara na hata huko Visiwani.
Wanaonekana kujitokeza kwa wingi na baadhi ya wanasiasa na wasomi wa Zanzibar bila kuangalia chama chao
Kwa mujibu wa mmoja wa mtu anaeratibu kazi hiyo kwamba kweli wazanzibar wameamua kujitoa muhanga kuhusu hili.
UAMSHO walipanga kupata saini 450,000 (100% ya malengo yao) ambayo kwao wadai ni ushindi
Jee nini mustabali wa Muungano