Fomu za uamsho za kupinga muungano. Watu 500,000 watia saini

Ladies and Gentlemen, do read this out very clearly both in public and in silence:

Muungano is here to stay, the only options we have is to find ways to improve the administrative structures and operational efficiency and effectiveness for it to continue benefiting us the most.

Narudia hapa; Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni KUBORESHWA KWA MISINGI YA MAWAZO HURU YA WANANCHI WA KAWAIDA MASHINANI na kamwe wazo la kulivunja halina nafasi.
 
jazeni mjitoe muungano ndio mtajuta baadae
hamjui jinsi bara inavowabeba ktk kila sekta
mtakuwa mnakuaja viza tanganyika na mjue garama za maisha zitakuwa juu mara 2 huko
mnavopenda kukaa vibarazani kazi hamfanyi si mtakufa maskini?
itakuwa raha sana wabongo wakamate maduka ya wapemba manake mko wengi sana bara
na pia waliojenga bara watatimka pemba.HAPO NDO MTAKAPOJUTA KUUCHEZEA MUUNGANO
KWANI UKIVVUNJIKA HAKUNA ZANZIBAR BALI UNGUJA NA PEMBA.
VUNJENI FASTA MUUNGANO TUMEWACHOKA BARA

Mimi nakuunga mkono. Hakuna haja ya kuumiza vichwa hapa. Serikali iachane kwanza na mchakato wa katiba mpya ili itishe kura ya maoni kuhusu Muungano. Hii kura ipigwe Tanzania nzima ( Tanzania Bara=Tanganyika na Zanzibar). Wananchi waamuwe wenyewe kama wanataka Muungano ua la. Na kama wanataka Muungano, wanataka wa aina gani? Serikali moja, mbili, ua tatu? Haya mambo ya kuwalazimisha wananchi mambo ambao hawataki ni kutafuta matatizo.
 
je,hili lipo katika katiba ya muungano? Pengine ikawa ni kupoteza muda tu. Kama vipi na huku bara walete hizo fomu ili na sisi tusiopenda kuitwa makafiri tusaini ili wabaki hukohuko kwao na ubaguzi wao.

jitengeni na muende na popo bawa wenu na mambo yenu yooote ya kifirauni muondoke nayo na michezo yenu yooote mibaya mwende nayo huko kwenu.
 
Back
Top Bottom