Ngongo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2008
- 18,926
- 31,168
hapo wamemuonea Tenga anajitakasa
Heshima kwako King of King,
Mkuu ungefafanua ingesaidia kujua Tenga kajitakasa vipi ?.Mkuu wadhifa wa rais wa TFF ni sawa na wadhifa wa mwenyekiti wa bodi hawajibiki na shughuli za utendaji za kila siku pengine pengo la katibu mtendaji[mtendaji mkuu] Bwana Mwakalebela linaweza kuchangia itilafu iliyojitokeza.