friendsofjeykey
Senior Member
- Aug 12, 2010
- 129
- 13
1. hakuna aliyehukumiwa kwenye kesi hii hivyo wote bado ni innocent
2. Issue ya kuingiza gari geti la mbele au nyuma ni kazi za walinzi au watu wa protocal hivyo ni non issue
3. Tangu lini ikulu ikawa ya Nyerere? Ikulu ni ya waTanzania wote au ushasahau kama nyerer naye alikuwa na secretary wake ambaye alikuwa CIA kwenye hiyo hiyo ikulu yetu?
4. Wikileaks doc...hosea mwenyewe anasema tatizo sio watu kupewa kamisheni ya 30% bali je ni halali?
5. Dont hate the player, hate the game...considering huyo Hosea naye ana kashfa za kifisadi pia
2. Issue ya kuingiza gari geti la mbele au nyuma ni kazi za walinzi au watu wa protocal hivyo ni non issue
3. Tangu lini ikulu ikawa ya Nyerere? Ikulu ni ya waTanzania wote au ushasahau kama nyerer naye alikuwa na secretary wake ambaye alikuwa CIA kwenye hiyo hiyo ikulu yetu?
4. Wikileaks doc...hosea mwenyewe anasema tatizo sio watu kupewa kamisheni ya 30% bali je ni halali?
5. Dont hate the player, hate the game...considering huyo Hosea naye ana kashfa za kifisadi pia