Fisadi wa Rada, Tanil Somaiya afanya kufuru IKULU

Hii ni story ya kutungwa.
Hakikutokea kitu kama hiki, hata walinzi waliokuwa zamu siku hiyo wanashangaa mtu anaweza kuandika uongo kama huu.

Hivi wewe unadhani walinzi haohao waliomruhusu fisadi huyu apaki gari lake mbele ya lango kuu la Ikulu wakati mawaziri wameambiwa waache magari nje ya ukuta wa Ikulu watakiri kosa? Kuna kigogo mmoja alikuwepo kwenye sherehe nimemuuliza baada ya kusoma hii taarifa amethibitisha kuwa ni kweli tukio hilo lilitokea. Wageni wote waalikwa walitembea kwa mguu kutoka geti la nyuma la Ikulu mpaka kwenye gardens mbele ya mlango wa kuingia Ikulu na walikumbana na hiyo red Ferrari kwenye lango kuu la Ikulu! Hebu ulizeni watu waliokuwepo kwenye hii shughuli watupe ukweli. Tena nimesikia Somaiya alichelewa kuwasili Ikulu maksudi na alifika baada ya baadhi ya wageni kuwa tayari wako kwenye viwanja vya bustani ili watu wamuone akishuka kwenye Ferrari yake ya thamani ya $500,000!
 
Sikuliona gari hilo wapi lilipaki lakini Tanil Somaia alikuwa mmoja wa waalikwa na alikuwepo kwenye viwanja vya Ikulu na hata alipeana mkono na mkwere! Haya nilioyaandika ni ya kweli pengine hayo mengine ndio ya kutunga.
 
Somaiya amenunua kampuni ya ulinzi ya Ultimate Security, nadhani anafanya warm up ya kuinunua Jeshi la wanachi wa Tanzania pamoja na Polisi.
By few years to come, huyu mtu atakuwa hakamatiki.

du!
 
Mwaka 2005 mlikabidhi nchi tena kwa msanii na mswahili mwingine..nasikia, that time, wengi walivutiwa zaidi na sura yake!! nilisikitika sana. Niligundua waTz ni watu wa kusahau haraka. Anyway, yametokea tena 2010....
Kukumbushia, waTz wamesahau enzi za Mwinyi kugeuza Ikulu kuwa pango la wanyang'anyi!! walau kipindi hicho Mwalimu alikuwepo.. akayakemea wazi matendo yote maovu.
Since then, tumeendelea kuliwa vibaya sana!!
 
Kishongo ukitaka tukuamini lazima utuambie hao walinzi ulikutana nao lini? Na kwa shughuli gani? Na vile vile ulijuaje ya kuwa ni walinzi waliokuwa kwenye zamu siku husika?
 

Martin Shankleman said:
A judge at Southwark Crown Court has suggested that part of a secret £7.7m payment made by BAE Systems to a businessman in Tanzania was a bribe to help secure a radar contract. Mr Justice Bean said the "obvious inference" was that "part of the money was used to bribe decision makers" in Tanzania. BAE has admitted paying the money to its agent, Sailesh Vithlani, for his part in securing the £28m contract.

However, BAE denies any corruption.


BAE also conceded that most of the money paid to Mr Vithlani was funnelled through a secretive company it set up in the British Virgin Islands. It has also admitted that it did not keep proper accounts of the transactions, which it disguised as "payments for technical services". However, the judge said the arrangements meant the company "would have no fingerprints on the money". He added: "They didn't want to know how much was paid and to whom. He described BAE's behaviour as "hear no evil, speak no evil". The company is in court for sentencing over its behaviour. It has already agreed a deal with the Serious Fraud Office, under which it offered to make an ex-gratia payment of up to £30m to Tanzania, and admitted failing to keep accurate records of the payments to Mr Vithlani.

The case continues.



Time will tell .... ...
 
JK bwanaaaaaaaa khaaaaaaaaa huyu jamaa kaiweka serikali mfukoni!
Angekuwa nyerere angemtia adabu kama yule mgiriki
 
Ndio mambo ya Mkwere hayo huwezi kushangaa kwa hili tumesha yaona mengi na tutaendelea kuyaona mengi.
 
Hii ni story ya kutungwa.
Hakikutokea kitu kama hiki, hata walinzi waliokuwa zamu siku hiyo wanashangaa mtu anaweza kuandika uongo kama huu.

Je wewe ulikuwepo??? Au wee ndio ulikuwa zamu ya ulinzi siku hiyo??? Hata hivyo mwandishi nawe wa story hii kiasi fulani unatia wasiwasi, iweje toka siku ya Uhuru tarehe 9/Dec, hadi hii leo ndio unaitoa hii story, kweli ???? Siku zote hizo ulikuwa wapi????? Unatia wasiwasi!!
 
kwa mkwere sishangai....

Hapo mpaka ninajichokeaga kabisa...iko siku kura yangu itazaa matunda.....

God bless Tansania...
 
Hii ni story ya kutungwa.
Hakikutokea kitu kama hiki, hata walinzi waliokuwa zamu siku hiyo wanashangaa mtu anaweza kuandika uongo kama huu.

Eleza chako mbadala kama hii ni ya kutunga ukweli unaoujua wewe utueleze na sisi tupime tusije tukawa tunalishwa pumba tu
 
ukiongea wahindi tu nasikia nausea paaaap mm siwataki kabisa wahindi hapa TZ, wengi wao ni wezi, angalia mafisadi wote wakubwa wahindi kibao, kwanza si raia hawa, nenda india walivyo wabanguzi na wanashida kama nini? India ukifika utajua kwa nini wanngangania hapa kwetu, shida balaa, pollution as usual, wanazaliana kama utitiri, i hate them, i most hate mhindi kuliko any one, kila saa na hasira na ngumi mkononi ukisema wahindi, wezi hawa, yule juzi kamjibu kiburi mama Tibaijuka, mm nashangaa Serikali ingemla mboko, nyambaf
 
nadhani wakati wa kulalamika umekwisha sasa sisi kama wananchi lazima tuchukue hatua kama nikueneza elimu ya uzalendo kwa watu waliokaribu na sisi ,ukitoa mifano ya jinsi mafedhuli walivyo na nguvu nchi hii wanaweza wakaamua nani awekwe madarakani ,nani atoke ,kupitishwa mbele na kinyume cha utaratibu uliowekwa kwa wanadiplomasia hii taabu sana hata kumeza,inauma lakini roho yangu inaniambia tuta vuk siku moja na watalia na kusaga meno
 
Hii ni story ya kutungwa.
Hakikutokea kitu kama hiki, hata walinzi waliokuwa zamu siku hiyo wanashangaa mtu anaweza kuandika uongo kama huu.
Mkuu wewe ndio ulikuwa getini? Au unahusika vipi na hii habari?
 
Back
Top Bottom