Lyamber
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 11,716
- 18,753
hizo first class ni za vyuo gani maana kuna vyuo vingi vinasifika kwa kutoa first class tu lkn hamna kitu..navyo kumbuka kuna TO mmoja hvi alidisco coet kozi yake ilikua telecom engineering..kama ni vyuo vyenu vya kata mtapata tu hizo first class