hizi ni mbwembwe tu fainal mtaani
kumbe hata wasomi mnaongea upuuzi???watu walikuwa magenius wa kutisha ss hivi wanywa pombe yule prof wa dit hamna anaemjua??lifes only 4mula what u want;hw u want it n ur determination among all luck(God)anahusika sana tu;
hivi DIT si chuo cha wehu, wote ni vilaza pale DIT, hakuna professor DIT bali kuna wanywa gongo
Here is the list of 10 greatest secondary schools ever to occur in TANZANIA. This represents the all time best sec school since the death of Tanganyika. 1. MZUMBE 2. MARIAN 3. FEZA 4. KIBAHA 5. FRANSIS ST 6. KIFUNGILO 7. MAUA 8. ILBORU 9. TABORA 10. KILAKALA
hivi DIT si chuo cha wehu, wote ni vilaza pale DIT, hakuna professor DIT bali kuna wanywa gongo
nilikua sijajua aliyetoa huu uzi kumbe ni mwanamabadiliko
fact:wakuu jaribuni kumfatilia huyu jamaa humu jf utagundua kitu
Hi student? Jamani mi ni mzoefu na chuo .. Kwanza najua kila mmoja anapojiunga na chuo mawazo yake huwa ni kupata 1st class yani GPA 4.4-5.0 lakini kiuhalisia ndoto zao hupotea wanapokuja kugundua ukweli. Wanaopata 1st class chuo karibu 95% ni ma TO(TZ ONE- TOP 20), Wanaopata hzi ni wale wenye hstoria zao, mara o level 7,8 a leve 3,4. Kwa hyo msijetarajia makubwa wakati huna uwezo. Mfano mwaka 2005 jamaa aligradte mzumbe akapata 5.0 Gpa overal, na jamaa alikuwa wa 3 fom six. Waachie matoo first class zao, wale jamaa tunawaita SUPER HUMANS
first class sio maisha ingekuwa hao maTO wanatumia 1st class zao kugundua vitu vipya hapo sawa .........lakn hawana jipya kama kina mark zuckerberg, bill gates , steve job na wengne tungesema ehhhhh... lakn hamna jipya kazi misifa tuuu isiyo na msingi
1.5 KBhivi DIT si chuo cha wehu, wote ni vilaza pale DIT, hakuna professor DIT bali kuna wanywa gongo
MKUU SI ULISEMA UNA PhD YA MATHEMATICCS?hivi DIT si chuo cha wehu, wote ni vilaza pale DIT, hakuna professor DIT bali kuna wanywa gongo