Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,503
- 86,051
...kuanzia kesho atakua anapokea taarifa za wizi wao dhidi ya kura halali za wananchi na kwasababu yeye ni mtu wa mipasho atakua ameandaa ka-verse kama haka kafuatako na atakua akiimba kwa mluzi " ya nini malumbano, ya nini maneno, najiweka pembeni, naepusha msongamano, naenda aaa, naenda, hata kama mwanzoni niliwadanganya... halafu atazikumbuka sana nyimbo za Mpoto hasa ADELA kua yale makofi yaliaamnisha nini???