MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,563
Chorus: Ya nini malumbano, ya nini maneno
najiweka pembeni naepusha msongamano
Bora nitulie ningoje changu na mie
Mola nijalie haya yasijirudie X2
Washkaji walinambia kwamba demu ni kiruka njia
Nilidhani wamenikamia kunipania nikapuzia
Chezo lilipoanza, nilidanganya naenda Mwanza
Kurudi ndani nilipoanza , nakuta njemba imejilaza gheto
Nenda, nenda, nenda hata kama zamani nilipenda.
Chorus: Ya nini malumbano, ya nini maneno
najiweka pembeni naepusha msongamano
Bora nitulie ningoje changu na mie
Mola nijalie haya yasijirudie X2
By 20 Percent.
Ninapousikiliza huu wimbo najiuliza maswali mengi yasiyo na majibu. Lakini kubwa ni hili.
Haya yakiongewa/amuliwa na mwanaume INAELEWEKA katika jamii yetu ila si yakitoka mdomoni/moyoni mwa Mwanamke.... Si kwamba wanaume wao hawana tabia za ajabu kama zilizoelezwa kwa demu huyu wa 20 % lakini wanawake ni wazito kufikia maamuzi ya msimamo huu. Sijui kwa nini? Naombeni msaada.....
najiweka pembeni naepusha msongamano
Bora nitulie ningoje changu na mie
Mola nijalie haya yasijirudie X2
Washkaji walinambia kwamba demu ni kiruka njia
Nilidhani wamenikamia kunipania nikapuzia
Chezo lilipoanza, nilidanganya naenda Mwanza
Kurudi ndani nilipoanza , nakuta njemba imejilaza gheto
Nenda, nenda, nenda hata kama zamani nilipenda.
Chorus: Ya nini malumbano, ya nini maneno
najiweka pembeni naepusha msongamano
Bora nitulie ningoje changu na mie
Mola nijalie haya yasijirudie X2
By 20 Percent.
Ninapousikiliza huu wimbo najiuliza maswali mengi yasiyo na majibu. Lakini kubwa ni hili.
Haya yakiongewa/amuliwa na mwanaume INAELEWEKA katika jamii yetu ila si yakitoka mdomoni/moyoni mwa Mwanamke.... Si kwamba wanaume wao hawana tabia za ajabu kama zilizoelezwa kwa demu huyu wa 20 % lakini wanawake ni wazito kufikia maamuzi ya msimamo huu. Sijui kwa nini? Naombeni msaada.....