Pakawa
JF-Expert Member
- Mar 11, 2009
- 7,670
- 13,150
Acha kuwadanganya watu.@mwanakijiji
jamaa wameweka mfumo wa kuchuja sms zinazowafikia wao, katika namba hizo ni zile tu zitazokuwa kwenye phone book zao ndizo zitaweza kupeleka sms mpaka kiganjani kwa wakuu uliowataja, lakini kama hauko kwenye phonebook zao itakuonyesha sms zimepokelewa lakini hazitafika kiganjani kwa wakuu bali zitaishia kwa wachujaji