The Planner
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 357
- 118
Je,kuna haja ya kubadili jina la kikosi chetu cha kutuliza ghasia na kukiita kikosi cha kutuliza demokrasia, maana naona kila palipo na chembechembe za mapinduzi ya demokrasia hawa jamaa lazima waende! tujadili